johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Naibu waziri anafanya kazi gani huku bara?Zanzibar ni ndogo sana mkuu hamna haja ya manaibu ila kwa mainland inakuwa ngumu kidgo Tanganyika ina eneo kubwa manaibu muhimu
Itakuwa safi sana!Z'bar n kakoloni kadogo, Mwinyi hawezi kuamua jambo bila J kuridhia.
Hivo tutegemeee copy na paste kwa Bara.
Ukishakuwa na TAMISEMI huitaji manaibu waziri kwa sababu hawana kazi za kufanya na ndio maana muda wote huwaletea figisu mawaziri ili wachukue nafasi zao.Bwashee umefail sana. Zanzibar na Rwanda inawezekana kuwa na wizara bila manaibu mawaziri kadhalika na makatibu wakuu bila kuwa na manaibu. Ila Tanganyika sio rahisi mkuu. Hili linchi ni likubwa sana bwashee. waziri hawezi hata kidogo kufanya kazi nchi nzima hasa wizara kama ya fedha, Afya, elimu na wizara nyingine nyeti zinazohitaji ukaribu sana kama kilimo. Akifanya hivyo atakuwa amekurupuka na nitampa miezi miwili ataanza upya japo anajiona kichwa ngumu.
Nimekuelewa bwashee!Kwa Maoni yangu Wafuatao inatakiwa wafutwe kabisa kwenye mfumo wa serikali watafute Kazi zingine za kufanya.
1. Manaibu waziri. (Mawaziri na makatibu wa wizara wanatosha kabisa kusaidiana Kazi na zikaenda)
2. Wabunge wa viti maalamu (Wabunge waliochaguliwa na wananchi na wale 10 wa Rais wanatosha kabisa kuwawakilisha vyema wananchi wao).
3. Ma driver wa Wabunge (Ilitakiwa kila Mbunge aajiri driver wake Kama anahitaji kuendeshwa na Wala siyo kuitwisha mzigo serikali angali inampa pesa ndefu kwa Kazi ya kupiga meza na kusinzia kwenye Bungeni).
Ni hivyo tu nalog Off.
KabsaaaaKwa Maoni yangu Wafuatao inatakiwa wafutwe kabisa kwenye mfumo wa serikali watafute Kazi zingine za kufanya.
1. Manaibu waziri. (Mawaziri na makatibu wa wizara wanatosha kabisa kusaidiana Kazi na zikaenda)
2. Wabunge wa viti maalamu (Wabunge waliochaguliwa na wananchi na wale 10 wa Rais wanatosha kabisa kuwawakilisha vyema wananchi wao).
3. Ma driver wa Wabunge (Ilitakiwa kila Mbunge aajiri driver wake Kama anahitaji kuendeshwa na Wala siyo kuitwisha mzigo serikali angali inampa pesa ndefu kwa Kazi ya kupiga meza na kusinzia kwenye Bungeni).
Ni hivyo tu nalog Off.
Manaibu waziri wapo kwa mujibu wa katiba. Asipowateua amevunja katiba
Tanzania Daima!Chini ya Magufuli katiba imekuwa kama gazeti la udaku.
Kule kunatakiwa wakuu wa wilaya wawili tuu, wilaya ya Pemba na wilaya ya Unguja. Pemba iwe mkoa wa Tanga na Unguja iwe mkoa wa dar. Basi.Zanzibar ni mikoa miwili tu, bahati yao inaitwa nchi, sioni umuhimu wa manaibu Waziri hata Mawaziri wanatakiwa wawe saba tu.
Lazima umekosa uteuzi wewe.Manaibu waziri wapo kwa mujibu wa katiba. Asipowateua amevunja katiba
Kwani Marekani ina manaibu wa Mawaziri wangapi?Zanzibar ni ndogo sana mkuu hamna haja ya manaibu ila kwa mainland inakuwa ngumu kidgo Tanganyika ina eneo kubwa manaibu muhimu.