Nakuchukia Baba yangu

Nakuchukia Baba yangu

We can make productive reasoning without insulting each other.
Nimekuwa city centre of Dar es salaam, karibu kabisa na Dogodogo centre, kwahiyo najua kuna sababu tofauti zinazosababisha kuwa na watoto wa mitaani, but I don't understand your point.
Ukiongea kuhusu vita ya kifamilia, mimi binafsi as a father, nakuhakikishia hakuna mtu atachukua mtoto wangu. I'll protect them by any price.
Mkuu hapa anatuambia wametelekezwa na baba yao, hii mambo ya vita ya kifamilia ni story kutoka wapi?
Kakwambia walitelekezwa sababu gani?, unaamini kwamba walitelekezwa sababu ya baba kupata mwanamke mwingine?.
Naamini baba kupata mwanamke mwingine ilikuwa second & best solution kwenye maisha yake kwa kipindi hicho.
Hakuna ajuaye yote lkn pia nikudokezee tu., baba anaweza kumfanyia mke ukatili wa kijinsia kimwili lkn mwanamke anaweza kumfanyia mwanaume ukatili wa kiakili na mwanaume akapata uchizi...ndoa zina siri sana mzee baba na haya masuala siyo ya kulaumu upande mmoja tu
 
Mvulana kamwe hawezi kuielewa hii kauli ila ngoja awe mwanaume sasaa ndio atakuja kuelewa kipi ulimaanisha
Binafsi kabla sijaoa (kipindi naishi na wazazi) nilikua upande wa Mama kwenye matukio mengi nikiona kuna kutokuelewana baina ya wazazi wangu japo kuwa ilikua changamoto ndogo ndogo
Ila baada ya kuoa tuu ndo nikaelewa nafasi ya Baba, na kuanzia hapo nilizidisha Mapenzi makubwa mnoo kwa marehem Baba yangu, Mungu amuweke mahala pema
Wanaume tunapitia changamoto kubwa saana kwenye mahusiano ni vilee tuu huwa hatuna muda wa kulalamika lalamika
Chochote kitakachotokea kwa mahusiano MWANAUME ndo anaraumiwa!!

Mwanamke akiwa Maraya wanasema haumchungi, ukimchunga huo ni unyanyasaji, ukimpiga shambulio, akikupiga, kwanini MWANAUME unakua legelege.


Unapambana unajenga nyumba, unanua gari, yeye hajawahi kuchangia hata shilingi mia, eti anaenda mahakamani tugawane mali zangu, kisa nimemfumania nikamfumua!!!


Aiseeeeeeee,,,

Aiseeeeeeeer............


NB: WANAWAKE, MWANAUME AKIMFUMANIA MKEWE, MAUMIVU ANAYOYAPATA NI SAWA NA KUJIFUNGUA WATOTO 45 KWA MKUPUO!!!!! MWANAUME AKIKUFUMANIA AKAKUSAMEHE, MCHUNGUZE..........................
 
Kakwambia walitelekezwa sababu gani?, unaamini kwamba walitelekezwa sababu ya baba kupata mwanamke mwingine?.
Naamini baba kupata mwanamke mwingine ilikuwa second & best solution kwenye maisha yake kwa kipindi hicho.
Hakuna ajuaye yote lkn pia nikudokezee tu., baba anaweza kumfanyia mke ukatili wa kijinsia kimwili lkn mwanamke anaweza kumfanyia mwanaume ukatili wa kiakili na mwanaume akapata uchizi...ndoa zina siri sana mzee baba na haya masuala siyo ya kulaumu upande mmoja tu

There's no excuse to abandon your children. Period
 
Mara nyingi tunaona wazee wakiwapakazi watoto zao kwamba hawawajali. Ukiamua kuondoka nenda usirudi kutafuta huruma uzeeni
Kwani wazazi wangapi wame play part 100% lakini watoto wao wamewaterekeza???

Binafsi sizai watoto wanisaidie!! Nazaa niwasaidie!!! Huo ndo utaratibu kwetu!!
 
There's no excuse to abandon your children. Period
There's no any father who can abandon his children!!!! We abandon their mother(s) and if necessary, we give up upon them (children )

KAMA UNATAKA NIMTUNZE MWANANGU NAOMBA NIKAE NAE MIMI BASI!!

SIWEZI KUMTUMIA JAMBAZI LA MAPENZI PESA YANGU KISA TUMEZAA WOTE!!
 
Mkuu hilo lisikupe tabu. Kuna watoto ambao wamspiganiwa na baba zao mpaka baba zao wakapata magonjwa ya moyo. Lakina walipojipata wamewachuka mama zao nakuwaacha baba zao wamalizwe na BP. Nawengine huwapigia cm na kuwatumia hela mama zao tuu!.
NB:
Kama mtu anamuon Baba yake ni useless abadili ubini pia asimsaidie chochote, hata akiumwa usimtibishe ili mzee awahi kurudi kwa Muumba wake mapema ili akutolee kiwingu.
Halafu tatizo ni nyie hao hao wanaume, mkiwa na wake zenu hamna muda nao busy na mama zenu eti ndiye kanizaa, na watoto wenu wakiume na wao wakikua busy na mama zao wakati huo huyo baba mama yake hayupo na ndiyo hapo anapokumbuka na muda umeshamtupa,
 
Halafu tatizo ni nyie hao hao wanaume, mkiwa na wake zenu hamna muda nao busy na mama zenu eti ndiye kanizaa, na watoto wenu wakiume na wao wakikua busy na mama zao wakati huo huyo baba mama yake hayupo na ndiyo hapo anapokumbuka na muda umeshamtupa,
Ukosahih kabsaa,ila ilitakiwa watoto wakiume wajikite na baba zao ili watengeneze mfumo mzuri. Hilo la wamama tuwaachie mabinti.
 
Ukosahih kabsaa,ila ilitakiwa watoto wakiume wajikite na baba zao ili watengeneze mfumo mzuri. Hilo la wamama tuwaachie mabinti.
Kila mtu mama yake, mama yake, yaani ambao hawana ubaguzi na wazazi ni watoto wa kike, labda huku mikoa ya ukanda wa pwani wenye mfumo jike.
 
Kila mtu mama yake, mama yake, yaani ambao hawana ubaguzi na wazazi ni watoto wa kike, labda huku mikoa ya ukanda wa pwani wenye mfumo jike.
Ngoja yatukute coz tumeamua kuchagua njia ya kishenzi saana.
 
Hapa ulidai kalishwa sumu. Ulijuaje kalishwa sumu, ulikuwepo?

Hapa unadai uliuliza alijuaje baba yake aliondoka na mwanamke mwingine.

Mwanzoni ulidai alilishwa sumu na mama yake ukidhani alikuwa na 2 weeks, ukagundua alikuwa mkubwa wa kuweza kutambua baba kaondoka. Then ukajifanya unauliza alijuaje.

Wewe ni miongoni mwa The Runners, mnaoamini mtafyatua tu mtaani alafu watoto wakikua watawatafuta?
Mwenyekiti wenu Mzee Nyembo baba yake Ommy Dimpoz, Makamu Mwenyekiti Mzee Abdul star wa "Dudu la Yuyu" baba yake Diamond.

Uzuri siku hizi wazazi uchwara hamuwezi kutoa laana, wanatoa laana waliowajibika tu.
Yeye kajuaje Bana yake aliondoka na mwanamke mwingine?
 
Kakwambia walitelekezwa sababu gani?, unaamini kwamba walitelekezwa sababu ya baba kupata mwanamke mwingine?.
Naamini baba kupata mwanamke mwingine ilikuwa second & best solution kwenye maisha yake kwa kipindi hicho.
Hakuna ajuaye yote lkn pia nikudokezee tu., baba anaweza kumfanyia mke ukatili wa kijinsia kimwili lkn mwanamke anaweza kumfanyia mwanaume ukatili wa kiakili na mwanaume akapata uchizi...ndoa zina siri sana mzee baba na haya masuala siyo ya kulaumu upande mmoja tu
ndiyo,ukisoma kwa umakini utagundua ktk post yangu niliandika akaondoka na mwanamke. Labda umesoma ukakata baadhi ya maneno yangu.
 
Ngoja yatukute coz tumeamua kuchagua njia ya kishenzi saana.
Hakuna yakunikuta mie mwenyewe nimetoka familia yenye baba na mama na watoto kibao wote mama 1 na baba 1, heshima ya baba ilikuwa pale pale
 
Hauna akili. amri ya nne waheshimu wazazi wako
 
Back
Top Bottom