Nakuchukia Baba yangu

Kakwambia walitelekezwa sababu gani?, unaamini kwamba walitelekezwa sababu ya baba kupata mwanamke mwingine?.
Naamini baba kupata mwanamke mwingine ilikuwa second & best solution kwenye maisha yake kwa kipindi hicho.
Hakuna ajuaye yote lkn pia nikudokezee tu., baba anaweza kumfanyia mke ukatili wa kijinsia kimwili lkn mwanamke anaweza kumfanyia mwanaume ukatili wa kiakili na mwanaume akapata uchizi...ndoa zina siri sana mzee baba na haya masuala siyo ya kulaumu upande mmoja tu
 
Chochote kitakachotokea kwa mahusiano MWANAUME ndo anaraumiwa!!

Mwanamke akiwa Maraya wanasema haumchungi, ukimchunga huo ni unyanyasaji, ukimpiga shambulio, akikupiga, kwanini MWANAUME unakua legelege.


Unapambana unajenga nyumba, unanua gari, yeye hajawahi kuchangia hata shilingi mia, eti anaenda mahakamani tugawane mali zangu, kisa nimemfumania nikamfumua!!!


Aiseeeeeeee,,,

Aiseeeeeeeer............


NB: WANAWAKE, MWANAUME AKIMFUMANIA MKEWE, MAUMIVU ANAYOYAPATA NI SAWA NA KUJIFUNGUA WATOTO 45 KWA MKUPUO!!!!! MWANAUME AKIKUFUMANIA AKAKUSAMEHE, MCHUNGUZE..........................
 

There's no excuse to abandon your children. Period
 
Mara nyingi tunaona wazee wakiwapakazi watoto zao kwamba hawawajali. Ukiamua kuondoka nenda usirudi kutafuta huruma uzeeni
Kwani wazazi wangapi wame play part 100% lakini watoto wao wamewaterekeza???

Binafsi sizai watoto wanisaidie!! Nazaa niwasaidie!!! Huo ndo utaratibu kwetu!!
 
There's no excuse to abandon your children. Period
There's no any father who can abandon his children!!!! We abandon their mother(s) and if necessary, we give up upon them (children )

KAMA UNATAKA NIMTUNZE MWANANGU NAOMBA NIKAE NAE MIMI BASI!!

SIWEZI KUMTUMIA JAMBAZI LA MAPENZI PESA YANGU KISA TUMEZAA WOTE!!
 
Halafu tatizo ni nyie hao hao wanaume, mkiwa na wake zenu hamna muda nao busy na mama zenu eti ndiye kanizaa, na watoto wenu wakiume na wao wakikua busy na mama zao wakati huo huyo baba mama yake hayupo na ndiyo hapo anapokumbuka na muda umeshamtupa,
 
Ukosahih kabsaa,ila ilitakiwa watoto wakiume wajikite na baba zao ili watengeneze mfumo mzuri. Hilo la wamama tuwaachie mabinti.
 
Ukosahih kabsaa,ila ilitakiwa watoto wakiume wajikite na baba zao ili watengeneze mfumo mzuri. Hilo la wamama tuwaachie mabinti.
Kila mtu mama yake, mama yake, yaani ambao hawana ubaguzi na wazazi ni watoto wa kike, labda huku mikoa ya ukanda wa pwani wenye mfumo jike.
 
Kila mtu mama yake, mama yake, yaani ambao hawana ubaguzi na wazazi ni watoto wa kike, labda huku mikoa ya ukanda wa pwani wenye mfumo jike.
Ngoja yatukute coz tumeamua kuchagua njia ya kishenzi saana.
 
Yeye kajuaje Bana yake aliondoka na mwanamke mwingine?
 
ndiyo,ukisoma kwa umakini utagundua ktk post yangu niliandika akaondoka na mwanamke. Labda umesoma ukakata baadhi ya maneno yangu.
 
Ngoja yatukute coz tumeamua kuchagua njia ya kishenzi saana.
Hakuna yakunikuta mie mwenyewe nimetoka familia yenye baba na mama na watoto kibao wote mama 1 na baba 1, heshima ya baba ilikuwa pale pale
 
Hauna akili. amri ya nne waheshimu wazazi wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…