Nakuchukia Baba yangu

Nakuchukia Baba yangu

Wakuu,
Nimelelewa na mama yangu kwa asilimia 90 mpaka hapa nilipo

Baba yangu aliondoka nyumbani 2011 akamuacha mama yangu akiwa amejifungua wiki mbili akaenda kusikojulikana na mwanamke mwingine, akatuacha kakuna chakula wala matumizi yoyote ya mama na sisi wanafunzi, Ilibidi mama aanze vibarua ili tule na tusome mimi na dada yangu ninaemfuata.

Hata sisi tulipotoka shule ilibidi twende kwenye vibarua kwa ajiri ya chakula na madaftari, sabuni na matumizi mengine.qq

Nimepitia mateso makuu sana mpaka nimefka hapa nilipo kwa sababu ya baba yangu! Siku nyingine nitawaletea mkasa mzima ila kifupi namchukia mno baba yangu!
Mtafute baba ako umsikilize nae ana lipi la kusema kwa upande wake.
 
Wakuu,
Nimelelewa na mama yangu kwa asilimia 90 mpaka hapa nilipo

Baba yangu aliondoka nyumbani 2011 akamuacha mama yangu akiwa amejifungua wiki mbili akaenda kusikojulikana na mwanamke mwingine, akatuacha kakuna chakula wala matumizi yeyeto ya mama na sisi wanafunzi,
Ilibidi mama aanze vibarua ili tule na tusome mimi na dada yangu ninaemfuata.

Hata sisi tulipotoka shule ilibidi tuende kwenye vibarua kwa ajiri ya chakula na madaftari,sabuni na matumizi mengine,

Nimepitia mateso makuu sana mpaka nimefka hapa nilipo kwa sababu ya baba yangu! Siku nyingine nitawaletea mkasa mzima ila kifupi namchukia mno baba yangu!
Kwanza pole sana kiongozi, hii huwa inaumiza mno.

Nawaona watu wanajaribu ku-excuse tabia zisizofaa kwa kisingizio labda mama yako ndiyo alikua na shida.
Hata kama ingekua ni ukweli, kwani ukikorofishana na mkeo ndiyo unaacha kua baba na kujitoa kabisa kwenye kuhudumia watoto wako? Baba unawezaje kumtelekeza mama watoto wako na kichanga cha wiki mbili 😢 na watoto wengine saba.

Watu kama mzazi wako wapo wengi na ni mwiba sana kwenye jamii. Kaa naye mbali huyo mzee, ni mwanaume mwenye uwezo wa kuzalisha ila siyo baba!
 
Mimi dingi yangu aliwahi ninyima chakula siku kadhaa na wanakula hapo na mke wake (mama wa kambo). Wanakucheka!!

Niliwahi kuumwa kwa kuzidiwa kabisa nimelala karibu na uwani kwasababu nilikuwa natapika saaana (wakati mzee anatoka bafuni na mkewe ikabidi nimwombe angalau ela niende hosp kucheki maana hali ni mbaya) " kauli aliyoniambia ni kwamba we unayo?'" yaani hio ela nnayo omba mi nnayo?? Ikabidi niseme Sina.. nayeye akajibu Hana pia!!

Niliwahi fukuzwa home, sio mara moja!

All in all mzee wangu (dingi) namkubali sana pamoja na yote..

Nilishaapa sana kwamba haitakuja kutokea nimkubali!! Lakn ndo hivyo akiwa na shida akikucheki tu! Mtu upo tayri uazime ela sehem umtumie (I don't know hii Hali inakuwaje kuwaje)
Mkuu mahusiano yana Mambo mengi we unaweza kumuona Baba yako ana roho mbaya kumbe amerogwa wanawake wabaya sana kwenye Mambo ya ndoa.
 
Wakuu,
Nimelelewa na mama yangu kwa asilimia 90 mpaka hapa nilipo

Baba yangu aliondoka nyumbani 2011 akamuacha mama yangu akiwa amejifungua wiki mbili akaenda kusikojulikana na mwanamke mwingine, akatuacha kakuna chakula wala matumizi yoyote ya mama na sisi wanafunzi, Ilibidi mama aanze vibarua ili tule na tusome mimi na dada yangu ninaemfuata.

Hata sisi tulipotoka shule ilibidi twende kwenye vibarua kwa ajiri ya chakula na madaftari, sabuni na matumizi mengine.qq

Nimepitia mateso makuu sana mpaka nimefka hapa nilipo kwa sababu ya baba yangu! Siku nyingine nitawaletea mkasa mzima ila kifupi namchukia mno baba yangu!

Hii story amekupa maza. Sasa tafuta muda upate version ya mzee halafu uje tujadili
 
Kwanza pole sana kiongozi, hii huwa inaumiza mno.

Nawaona watu wanajaribu ku-excuse tabia zisizofaa kwa kisingizio labda mama yako ndiyo alikua na shida.
Hata kama ingekua ni ukweli, kwani ukikorofishana na mkeo ndiyo unaacha kua baba na kujitoa kabisa kwenye kuhudumia watoto wako? Baba unawezaje kumtelekeza mama watoto wako na kichanga cha wiki mbili 😢 na watoto wengine saba.

Watu kama mzazi wako wapo wengi na ni mwiba sana kwenye jamii. Kaa naye mbali huyo mzee, ni mwanaume mwenye uwezo wa kuzalisha ila siyo baba!
Kumbuka kuna ishu ya kubambikiwa mtoto uko kwenye ndoa. Hapo busara ni dogo kumtafuta mshua asikilize na story ya upande wa pili.
 
Wakuu,
Nimelelewa na mama yangu kwa asilimia 90 mpaka hapa nilipo

Baba yangu aliondoka nyumbani 2011 akamuacha mama yangu akiwa amejifungua wiki mbili akaenda kusikojulikana na mwanamke mwingine, akatuacha kakuna chakula wala matumizi yoyote ya mama na sisi wanafunzi, Ilibidi mama aanze vibarua ili tule na tusome mimi na dada yangu ninaemfuata.

Hata sisi tulipotoka shule ilibidi twende kwenye vibarua kwa ajiri ya chakula na madaftari, sabuni na matumizi mengine.qq

Nimepitia mateso makuu sana mpaka nimefka hapa nilipo kwa sababu ya baba yangu! Siku nyingine nitawaletea mkasa mzima ila kifupi namchukia mno baba yangu!
Nadhani kumchukia baba yako sio ishu hata kidogo haimuongezei wala kumpunguzia kitu.

Watoto wengi huegemea kwa mama zao na hasa mama akiwa pa mdomo sana . Wanawake waliowengi wakiwa na waume zao wana tabia ambazo ni ngumu kuvumilia na wao hujiotesha mapembe!

Nasimama upande mmoja na mshua wako!
#Team #Kataa ndoa , NDOA NI UTAPELI
 
Kumbuka kuna ishu ya kubambikiwa mtoto uko kwenye ndoa. Hapo busara ni dogo kumtafuta mshua asikilize na story ya upande wa pili.
Mtoa nyuzi amesema mzee alirudi na ameozesha watoto wake wa kike wa3 na kuchukua mahari. Kama kungekua na ishu ya kubambikiwa watoto iliyomfanya awatelekeze, je angerudi kwenye haya?
 
mama yangu tangu aolewe na baba mwaka 1986 hadi leo hawawahi kuzaa na mwanamme mwngn tofauti na baba yangu mimi, na tuko watoto 8 je mama ni singe maza?
Usibebwe na mkumbo wa mitandao ya kijamii.
Sio singo maza ni mama yako alaah.
 
Mtoa nyuzi amesema mzee alirudi na ameozesha watoto wake wa kike wa3 na kuchukua mahari. Kama kungekua na ishu ya kubambikiwa watoto iliyomfanya awatelekeze, je angerudi kwenye haya?
Whatever it is, sio sawa kutoa hukumu kwa kusikiliza upande mmoja, sana sana kwenye ugomvi wa wazazi ambao wewe ulikua bado mdogo
 
Wakuu,
Nimelelewa na mama yangu kwa asilimia 90 mpaka hapa nilipo

Baba yangu aliondoka nyumbani 2011 akamuacha mama yangu akiwa amejifungua wiki mbili akaenda kusikojulikana na mwanamke mwingine, akatuacha kakuna chakula wala matumizi yoyote ya mama na sisi wanafunzi, Ilibidi mama aanze vibarua ili tule na tusome mimi na dada yangu ninaemfuata.

Hata sisi tulipotoka shule ilibidi twende kwenye vibarua kwa ajiri ya chakula na madaftari, sabuni na matumizi mengine.qq

Nimepitia mateso makuu sana mpaka nimefka hapa nilipo kwa sababu ya baba yangu! Siku nyingine nitawaletea mkasa mzima ila kifupi namchukia mno baba yangu!
chuki haitakusaidia chochote,bali itazidi kukuumiza
 
Back
Top Bottom