Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muislamu hawezi kuandika hivi..
Huyu atakua Kafiri.
Naamini watu wengi hawaogopi kifo bali huogopa kutangulia. Kifo kipo ili watu wasijae duniani wakakosa nafasi ya makazi, ndo maana wafa na wengine wazaliwa. Ubaya wakutangulia ni kwamba unaviacha vitu vizuri sana duniani.
Hivi ikitoka wajua unakufa baada ya masaa 12 kuanzia sasa ni nini ungefanya cha mwisho kuridhisha nafsi yako!! Mimi ningepoteza mawazokwa kugegeda masaa yaliyobaki kuondoa stress.
Ni vizuri kutubu kika siku mkuunatubu
Wewe wacha kutudanganya na matango pori... Unawezaje kusemea sehemu usiyoijua... Duniani kutamu bana asikwambie mtu.. Wapo maskini wanaoshindia mlo mmoja per dei bt hakubali kabisa kwenda huko kusikojulikanaUnajua, Unapokuwa hai ndipo Unapochagua Maisha gani utaishi baada ya Kufa.
Uchaguzi wako ukiwa mzuri huwezi kuogopa kufa, kwasababu duniani hakuna mambo mazuri kuliko uendako.
Ila kama ulijiandaa vema.
Mm ningepoteza Mawazo kwa Kufunga na Kuomba kwa Mungu wangu hadi hapo ataponichukua.
Bado ananyonya?ana mwaka mmoja , kama mama siwezi mwambia vitu vya kumuumiza sitamwambia kama namwacha, nitamweleza mambo mengi mazuri duniani ya kufanya japo hata nielewa ila atasikia ,najua akija kuwa mzazi na yeye atajua kwa nini mama hakuniambia kuwa namwacha
Ndiyo mkuuBado ananyonya?