Nakufa baada ya masaa 12, nifanye nini?

Nakufa baada ya masaa 12, nifanye nini?

Nitaassassinate kiongozi mkorofi yeyote duniani ambaye ni mkorofi na anasumbua mno wananchi.
 
Ningeenda kumtandika kibao kimoja kitakatifu rc wa dar na mateke ya haja.
 
Naamini watu wengi hawaogopi kifo bali huogopa kutangulia. Kifo kipo ili watu wasijae duniani wakakosa nafasi ya makazi, ndo maana wafa na wengine wazaliwa. Ubaya wakutangulia ni kwamba unaviacha vitu vizuri sana duniani.

Hivi ikitoka wajua unakufa baada ya masaa 12 kuanzia sasa ni nini ungefanya cha mwisho kuridhisha nafsi yako!! Mimi ningepoteza mawazokwa kugegeda masaa yaliyobaki kuondoa stress.


Mtukane fisadi Lowasa na Tundu Lisu kwa mara ya mwisho ili uende Peponi!
 
Unajua, Unapokuwa hai ndipo Unapochagua Maisha gani utaishi baada ya Kufa.
Uchaguzi wako ukiwa mzuri huwezi kuogopa kufa, kwasababu duniani hakuna mambo mazuri kuliko uendako.
Ila kama ulijiandaa vema.
Mm ningepoteza Mawazo kwa Kufunga na Kuomba kwa Mungu wangu hadi hapo ataponichukua.
 
Nakula vyakula vyote vilivyopo ili kama nitapata kipigo niwe nimeshiba..
 
Ningeenda nyumbani na kuwapikia chakula kizuriii na kula pamoja... Baada ya hapo ninhekaa nao tunapiga story na kucheka mpaka kifo kitakaponifikia.
 
Unajua, Unapokuwa hai ndipo Unapochagua Maisha gani utaishi baada ya Kufa.
Uchaguzi wako ukiwa mzuri huwezi kuogopa kufa, kwasababu duniani hakuna mambo mazuri kuliko uendako.
Ila kama ulijiandaa vema.
Mm ningepoteza Mawazo kwa Kufunga na Kuomba kwa Mungu wangu hadi hapo ataponichukua.
Wewe wacha kutudanganya na matango pori... Unawezaje kusemea sehemu usiyoijua... Duniani kutamu bana asikwambie mtu.. Wapo maskini wanaoshindia mlo mmoja per dei bt hakubali kabisa kwenda huko kusikojulikana
 
Dwayne is the part of living,sie tunausubiri urithi usioharibika,ulio kamili,kifo kwetu ni usingizi wa muda tu
 
ana mwaka mmoja , kama mama siwezi mwambia vitu vya kumuumiza sitamwambia kama namwacha, nitamweleza mambo mengi mazuri duniani ya kufanya japo hata nielewa ila atasikia ,najua akija kuwa mzazi na yeye atajua kwa nini mama hakuniambia kuwa namwacha
Bado ananyonya?
 
Back
Top Bottom