Nakufa baada ya masaa 12, nifanye nini?

Nakufa baada ya masaa 12, nifanye nini?

Acheni mchezo na kifo, kifo hakitabiriki na hakuna ajuae atakufa muda gani..!
 
Mwenyezi Mungu anaweza akakufahamisha kuwa utakufa baada ya masaa 12, ndio anaweza.
Lakini ikawa wakati huo uko katika moja ya vitanda vya Hospitali, upo unatweta kama ng'ombe anayechinjwa na maumivu ya kila pahala, kila kitu unafanyiwa kuanzia kubwa hadi ndogo unasaidiwa. Wakati huo nafsi yako inaona lango la mauti lile pale. Na daktari keshathibitisha wewe utaondoka ni swala la muda tu.

Haya Gegeda sasa.
[emoji111] [emoji123] fact
 
Ubaya wa kifo hausemi kinakuja saa ngapi
 
Hata mm ningegeda yeyote....tena NYAMU NYAMU TU...bila kinga... Nifaidi zaidi..
 
Dah.......Unaanza kula nyama kwa nyama😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom