kigwenje
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 277
- 224
Sio watu wabaya wana mitizamo tofauti, mfano unachukua risk kubwa sana bila kujipanga mapema. Ila kwa sababu uko njiani ni bora ufike pale ubungo, nje ya kituo utaongea wauza mihogo ukinunua mihogo ya 200, wauza chips kahawa, matunda.
Inabidi uwe na uwezo wa kuwasoma watu mapema, wakweli au waongo wengine wanaweza kufikiri una pesa nyingi. Kwahiyo uwe makini. Baadaye utajipanga. Wengi watu wa Dar wametoka mikoani.
Ungemwambia sawa. Unataka akuambie kila kitu public hapa au we ni dogo janja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninunulie Asari, kakaAcha ku fake kaka.
haupo seriosly unawaharibia wenzako wenye uhitaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app