Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Wewe si uanzishe uzi wako? Umekomaa kudandia nyuzi za wenzio.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mzee ungekuwa unaupdate uzi wako wa kwanza, unatupoteza huku!
 
mzee ungekuwa unaupdate uzi wako wa kwanza, unatupoteza huku!
Mbona update naweka kaka!
Hapa wanasema tumefika Ruvu stesheni, nisaidie kama utakuwa na kazi kaka, nakuomba!
 
Wakuu ile safari yangu nadhani leo itafika mwisho, Kwahiyo nisaidieni wakuu, Mnisaidie japo kazi ili nipate hela ya kula.
Dakika kadhaa nyuma ndiyo tumeondoka hapa stesheni ya Morogoro, Asanteni!
Hahahahahahaha We jamaa bhana.. Aliyekudanganya Huko Kijijini kwenu ... Raisi anakimbilia Dodoma we unakimbilia Dar

R!'^/_:Rr[b.+f}[8D?|
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…