Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Ndiyo, Wilo12 na Shunie, Wamenitumia Hela, Nawashukuru Sana. Na muda huu nasubiria mtu wa kunisaidia kazi pia. Ila narudia tena kusema kweli, Wilo12 na Shunie Asanteni Sana.
Wilo12 na Shunie Asanteni sana! Yaani sijui niseme aje, Ila, Ahsanteni kwa kweli kwa Kunisaidia Hela.
Usijali mkuu Mungu akufanyie wepesi kwenye mahitaji yako hivyohivyo kidogo tunasaidiana uzidi kubarikiwa
 
Ndiyo, Wilo12 na Shunie, Wamenitumia Hela, Nawashukuru Sana. Na muda huu nasubiria mtu wa kunisaidia kazi pia. Ila narudia tena kusema kweli, Wilo12 na Shunie Asanteni Sana.
Naona Daudi mchambuzi amekwambia uende maeneo ya kona bar, kama upo hapo makumbusho sio mbali sana na kona bar hebu nenda halafu usisahau mdau wa huko baracuda the wakitupatia mrejesho nasisi tutakuwezesha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mdau hapa chini, hebu msome
Ngoja nifanye mchakato, ila nikienda na asipatikane ni tatizo pia. Ila ngoja niende, nitawapa mrejesho wakuu. Mimi nahitaji kazi jamani!
 
Njooo hapa kariakooo...ukifika ulizia Valentine hotel nikupe 20k ya kula... Im seriously
Hapo Valentine hotel pembeni kwenye nyama choma kuna wadada poa wazuri.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Back
Top Bottom