IWAMBI
JF-Expert Member
- Dec 5, 2018
- 730
- 624
Ndiyo mkuu but tatizo la matapeli kama hawa ana discourage watu kusaidia wengine wenye shida haswa...ebu fikiria mtu akishatapeliwa kuna siku akikutana na mtu mwenye shida haswa lazima asite kutoa msaadaMkuu kutoa ni moyo kama ameongopa au ni kweli ana shida anajua yeye