Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Piga namba hii 0714304036 na umueleze shida yako toka mwanzo.Mwambie kuna mtu alikomenti kuwa nikipiga namba hii unaweza nisaidia.Usiogope piga hiyo namba halafu akikujibu jibu tofauti nitumie hilo jibu hapa
Cc. aise

Homosapiens
 
Piga namba hii 0714304036 na umueleze shida yako toka mwanzo.Mwambie kuna mtu alikomenti kuwa nikipiga namba hii unaweza nisaidia.Usiogope piga hiyo namba halafu akikujibu jibu tofauti nitumie hilo jibu hapa
Duh ka picha kako ngamia anaweza penya kwenye tundu la sindano!!!
 
Mkuu umepata msaada halafu unajadili jina nalotumia JF? Kumbe hauko serious mkuu,me nilitaka nikupokee uje Lunduno kuna nyumba wanakaa vijana wengi ujiunge nao maisha yasonge halafu wewe unauliza jina.Nilijua ungeniomba namba ya simu
Alouliza jina ni mwingine na anayeomba msaada ni mwingine. By the way kama unatoa msaada tao bila masharti kwani wewe sio beberu. Umemkwoti mtu tofauti
 
Samahani Mkuu huyo hapo kwenye avatar ndio wewe?

Homosapiens
Hahaha unataka kuanza kushusha mistari nini? kuna mmoja alisema "Deadbody nina ujumbe wako naomba uje PM " nikasema japo nimefunga PM ila ngoja nimfuate.Nikaanza "Hello" akajibu "poa mrembo umependeza",nikaona hapa hamna kazi.Huyu sio mimi na wala hata simjui,nimedownload tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…