Thubutu,,, me mwenyewe namba yangu sinaHahahahaha mbona Shunie kishakunasa sasa...ngoja nipande dau nipate namba yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Dada tumia tu lugha ya kistaarabu baitakugharimu chochote, ukiona mtu anakukera na maneno yake aio lazima umjibu unakaa tu kimya kuonyesha tofauti ila ukijibu unaonekana nawewe ni walewale
Mwenye huu uzi nia nia yake Ni kutaka msaada sasa si vyema kuugeuza uzi kuwa sehemu ya malumbano tena kwa maneno yasiyo na staha
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha ***** umetisha kakaThubutu,,, me mwenyewe namba yangu sina
Pole ila achana nae anaonekana sio mstaarabu, usibishane nae, ukiona mwanaume anatukana mama wa mwenzie au anamtukana mwanamke basi jua tu ana malezi ya upande mmoja sio kosa lake, mtu gani hana kauli kwa wazazi, by the way hakutakiwa kuingiza wazazi kabisa kwenye huu uzi maana hawahusiki ila tusimlaumu pengine amekulia mtaani you never knowMy dear huyo mtu ameanza mda mrefu kutukana humu, kosa langu kumwambia asitukane mama wa mwenzie akanigeuzia kibao. Nways nishampuuzia, haitotokea tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] i love this game. Salute kwako mkuu nimecheka sanaThubutu,,, me mwenyewe namba yangu sina
Hapa ushaingia kingi.....hakika ww ni mwanamke...mmeumbwa kuamini watu fasta fastaUsiskize maneno ya watu kijana.. Mungu ni mwema utaoka kimaisha na kuleta ushuhuda hapa
Mi naqaza kuwa na kibarua ila ndo hivo
Ningekua nacho ningekuajiri mapema
Sent using Jamii Forums mobile app
acha na Mimi niendelee hapa chini😅😅😅😅Mpaka sasa hakuna uthibitisho kama ni tapeli au ni mkweli mwenye kutaka msaada.
Naendelea hapo chini...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tuendelee tu mkuu dogo hatupi mrejesho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]acha na Mimi niendelee hapa chino[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Hapo ulipoweka neno "anakazia" nimekuona wa mjini kweli kweli...maana hizo lugha ni za watu wa mjini....sio Kigoma!!?Baadhi ya watu wana vichwa vigumu kweli, yaani mtu hajaonana na mimi, ila anakazia tu eti Mimi ni muongo, uongo wangu umeujuaje? Umekaa na mimi ukagundua mimi ni muongo? Hebu tuweni na uelewa basi. Jambo dogo kama hili watu hamuelewi? Ila ni haki yenu kuniwazia mtakavyo. Na mwenye kuhitaji kunisaidia, atanisaidia kweli.
😅😅😅😅naendelea hapo chini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tuendelee tu mkuu dogo hatupi mrejesho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naendelea hapo chini...
Bora mlale maana sioni dalili ya dogo kurudi mi mwenyewe nimechoka kusubiri mrejesho, nilishaandaa mpesa hapa nilikua nasubiri uthibitosho kutoka kwa wanajf ili nimuwezeshe dogo ila ngoja tuone hii movie inaendaje[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tuendelee tu mkuu dogo hatupi mrejesho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naendelea hapo chini...
Nilitaka kutuma tangu jioni lakini roho ilikuwa nzito sana nikasema ngoja niwe mtizamaji kwanza mpaka nijiridhishe ndipo na mimi nitoe mchango wangu lakini mpaka sasa bado hatujaupata ukweli kuhusu huyu dogo. Saa nne hii usikuBora mlale maana sioni dalili ya dogo kurudi mi mwenyewe nimechoka kusubiri mrejesho, nilishaandaa mpesa hapa nilikua nasubiri uthibitosho kutoka kwa wanajf ili nimuwezeshe dogo ila ngoja tuone hii movie inaendaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo ni member since december 24 2018Nilitaka kutuma tangu jioni lakini roho ilikuwa nzito sana nikasema ngoja niwe mtizamaji kwanza mpaka nijiridhishe ndipo na mimi nitoe mchango wangu lakini mpaka sasa bado hatujaupata ukweli kuhusu huyu dogo. Saa nne hii usiku
Naendelea hapo chini...