Kapyungu A
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 3,499
- 3,161
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] we jamaaUkifika Dar ili usipate tabu mkuu tafta single mother moja umgegede, ule mgegedo wa mkoani piga kila style ila usiguse 0714, hatakuachia sbbu uko Dar bila Puturu wanaume hawajiwezi, mama ataona ameokota Almasi mchangani baada ya miezi kadhaa utakua na uenyeji unasepa kujitegemea
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wa ajabu kabisa,Halafu wengi wao wamefika town kihivyo hivyo washasahau.Lakini watu mna maneno sana,yanachekesha lakini pia yanasikitisha saa nyingine, mtu hana hata sehemu ya kufikia, anaomba kazi,kachukua uamuzi mkubwa, mgumu kabisa katika maisha yake, upo safarini. Kwa nyuzi kama hizi mtu anapoomba msaada tujaribu kusaidia kama tuna uwezo, banter inaruhusiwa lakini banter na ushauri pia wa maana.. Ushauri wako unaweza kubadilisha maisha ya mtu.
Badala ya kumuonyesha michongo, vitu vya kufanya kupata riziki, labda ajishikishe sehemu, mnapiga story. Tumsaidie mshikaji kama kuna mtu ana uwezo. Mwanzo ni mgumu.
Aisee kweli ww ni Darasa la Saba Msomiha ha ha! Mkuu mimi nimekuelewa.
[emoji23][emoji23][emoji848] ingelikuwa rahisi hivo,kila anayehubiri fursa angelikuwa tayari yupo kigoma na ametusua.[emoji23][emoji23] mie ningekuwa naishi huko kigoma ningetusua mapema sana
Ukinitoa Dar siendi popote isipokuwa London,New York au Dubai.
[emoji23][emoji23][emoji848] ingelikuwa rahisi hivo,kila anayehubiri fursa angelikuwa tayari yupo kigoma na ametusua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Thanks mkuu @ Ushimen kanambiaUmewahi kuona wale wanaouza juice ya miwa? Kabla ile miwa haijakamuliwa wanakwangua yale maganda. Ndo kupara huko. Ukienda ferry wanapara samaki.
YAP YAPUtulivu muhimu kaka!
Ukifika Salanda nistue mkuu nikupe kizizi cha kuvutia mademu na dawa ya biashara[emoji23][emoji23] mie ningekuwa naishi huko kigoma ningetusua mapema sana
Bashite alisema mkija mje kwa sababu maalumu na mwisho wakukaa hapa ni Siku5Wakuu leo ni siku maalumu, nataka niuanze mwaka kwa mambo mapya! Hapa nipo ndani ya treni nakuja Dar! Na muda mfupi treni ndiyo imeanza safari,
Sina sehemu ya kuaminika ya kufikia, kwahiyo kama utakuwa na kazi, Tafadhali nisaidie, Na elimu yangu ni darasa la Saba 0744472252 Ni namba yangu.
Utulivu muhimu kaka!
Mimi siyo mtu wa mademu mkuu! Sema nini, niandalie nyama ya kima, maana hapo Salanda kuna nyama Za kila aina. Nasikia tu lakini!Ukifika Salanda nistue mkuu nikupe kizizi cha kuvutia mademu na dawa ya biashara
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wa ajabu kabisa,Halafu wengi wao wamefika town kihivyo hivyo washasahau.
Ukifika Salanda nistue mkuu nikupe kizizi cha kuvutia mademu na dawa ya biashara
Sent using Jamii Forums mobile app