Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Ukifika Dar ili usipate tabu mkuu tafta single mother moja umgegede, ule mgegedo wa mkoani piga kila style ila usiguse 0714, hatakuachia sbbu uko Dar bila Puturu wanaume hawajiwezi, mama ataona ameokota Almasi mchangani baada ya miezi kadhaa utakua na uenyeji unasepa kujitegemea

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] we jamaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini watu mna maneno sana,yanachekesha lakini pia yanasikitisha saa nyingine, mtu hana hata sehemu ya kufikia, anaomba kazi,kachukua uamuzi mkubwa, mgumu kabisa katika maisha yake, upo safarini. Kwa nyuzi kama hizi mtu anapoomba msaada tujaribu kusaidia kama tuna uwezo, banter inaruhusiwa lakini banter na ushauri pia wa maana.. Ushauri wako unaweza kubadilisha maisha ya mtu.

Badala ya kumuonyesha michongo, vitu vya kufanya kupata riziki, labda ajishikishe sehemu, mnapiga story. Tumsaidie mshikaji kama kuna mtu ana uwezo. Mwanzo ni mgumu.
Watu wa ajabu kabisa,Halafu wengi wao wamefika town kihivyo hivyo washasahau.
 
[emoji23][emoji23][emoji848] ingelikuwa rahisi hivo,kila anayehubiri fursa angelikuwa tayari yupo kigoma na ametusua.

Sent using Jamii Forums mobile app


Mie nimefika huko mkuu...alafu nimegundua ukiweza kujimix na watu deal nje nje..nlipata deal kubwa sana kigoma..ni vile nipo chini ya himaya ya mtu tu..!mkoa ambao siwez kuishi wenye dini fulan hv maendeleo huwa yanakuja kwa shida sana
 
Nlikupa kazi ya kuja kuparamiwa. Naona umeitosa. Haupo serious wenzio wengi wanakuja wanakubali kuparamiwa wanatoka kimaisha wanaanzisha miradi yao.wewe unachagua kazi ndugu yangu.kazi ni kazi bora mkono uende kinywani
 
Wakuu leo ni siku maalumu, nataka niuanze mwaka kwa mambo mapya! Hapa nipo ndani ya treni nakuja Dar! Na muda mfupi treni ndiyo imeanza safari,
Sina sehemu ya kuaminika ya kufikia, kwahiyo kama utakuwa na kazi, Tafadhali nisaidie, Na elimu yangu ni darasa la Saba 0744472252 Ni namba yangu.
Bashite alisema mkija mje kwa sababu maalumu na mwisho wakukaa hapa ni Siku5

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utulivu muhimu kaka!

Utulivu muhimu sana piga stori na watu kama 10 unatapata akili tofauti na kujiongeza mwenyewe, hata ukilaonao muhogo usiku mzima, mhogo mhoja kila saa, Fresh tu. kufikia 2030 kutakuwa na watu milioni 10, zaidi ya mara mbili leo. Wewe umewahi, ukiwa makini baada ya miezi 6 utakuwa vizuri. Connection is the key.
 
Watu wa ajabu kabisa,Halafu wengi wao wamefika town kihivyo hivyo washasahau.

Jiji litakua kwa asilimia 100 ndani ya miaka 11.Tupo millioni 5 sasa hivi tutakuwa na watu millioni 10 kufikia 2030. Inamaanisha wanaotoka vijijini watakuwa wengi sawa na walioko mjini leo. Ila ni rahisi sana kusahau ulipotoka au wazazi wetu walipotoka. Ndivyo tulivyo wanadamu wengi.

Inaamaanisha kutakuwa na mahitaji mengi sana ikizingatiwa vipato vya watu vitakua vimekua labda hadi tumefika uchumi wa kati. Mtu akijipanga kwenye sekta yoyote muhimu lazima atoboe. (Chakula, usafiri, kilimo, Elimu, Afya, nyumba n.k).
 
Ukifika Salanda nistue mkuu nikupe kizizi cha kuvutia mademu na dawa ya biashara

Sent using Jamii Forums mobile app

majanga haya!hvkweli kuna dawa za biashara??kuna kakangu aliendaga kwa mganga miaka y 2000. alikua mfanyabiashara wa hardware.. Mganga akichomwambia bwana nikaamin waganga wanaakili sana...alimpa dawa za kuoga..then akampiga marufuk starehe na akamwambia asizidishe nguo 5...ss imagine kiuhalisia hapo tu huez toka kimaisha?lazima utatoka ukiweka starehe pemben..wagang hawana lolote wanasoma tu saikolojia yako basi
 
Back
Top Bottom