Sawa mkuu!Utulivu muhimu sana piga stori na watu kama 10 unatapata akili tofauti na kujiongeza mwenyewe, hata ukilaonao muhogo usiku mzima, mhogo mhoja kila saa, Fresh tu. kufikia 2030 kutakuwa na watu milioni 10, zaidi ya mara mbili leo. Wewe umewahi, ukiwa makini baada ya miezi 6 utakuwa vizuri. Connection is the key.
Wewe jamaa bwana!picha linaanza ka muvi ya solomoni
ghafla vumbi linazidi wajanja wanavaa miwani
hii ndiyo dar, karibu ila usijisikie nyumbani
hapo ubungo usinunue simu utauziwa sabuni
panda daladala tukutane buguruni
kuna watu wanapiga utadhania majini
mtaani usiku utaona rangi zote za bikini
wanauza miili ili wanunue wali maini
usicheke bro kwa sababu mimi si mr. bean
chunga wallet yako hapa kuna wizi wa mfukoni
haukawii kushuka kwenye gari hauna phone
kuwa makini uvukapo huku gari hazipigi honi
daladala zina bajaji inakesha macho
ka huamini ngoja usiku ndo uamini we thomaso
wasio na kazi wanashindia stori za freemason
wajanja wamepanga sinza, kino na tabata
mchana anazibua vyoo usiku anakula bata
usikojoe ovyo bro mgambo watakukamata
hii ndo dar, mbona unadata kabla hata hujapata
starter?............nitaendelea verse ya pili ukifika mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
majanga haya!hvkweli kuna dawa za biashara??kuna kakangu aliendaga kwa mganga miaka y 2000. alikua mfanyabiashara wa hardware.. Mganga akichomwambia bwana nikaamin waganga wanaakili sana...alimpa dawa za kuoga..then akampiga marufuk starehe na akamwambia asizidishe nguo 5...ss imagine kiuhalisia hapo tu huez toka kimaisha?lazima utatoka ukiweka starehe pemben..wagang hawana lolote wanasoma tu saikolojia yako basi
Ha ha ha. Ni kipaji kuwasoma wanyonge, waliochanganyikiwa kidogo, wanaopenda uchawi.
kabisa aisee..ukitia nia kwa moyo wote jaman unatusua tu..
picha linaanza ka muvi ya solomoni
ghafla vumbi linazidi wajanja wanavaa miwani
hii ndiyo dar, karibu ila usijisikie nyumbani
hapo ubungo usinunue simu utauziwa sabuni
panda daladala tukutane buguruni
kuna watu wanapiga utadhania majini
mtaani usiku utaona rangi zote za bikini
wanauza miili ili wanunue wali maini
usicheke bro kwa sababu mimi si mr. bean
chunga wallet yako hapa kuna wizi wa mfukoni
haukawii kushuka kwenye gari hauna phone
kuwa makini uvukapo huku gari hazipigi honi
daladala zina bajaji inakesha macho
ka huamini ngoja usiku ndo uamini we thomaso
wasio na kazi wanashindia stori za freemason
wajanja wamepanga sinza, kino na tabata
mchana anazibua vyoo usiku anakula bata
usikojoe ovyo bro mgambo watakukamata
hii ndo dar, mbona unadata kabla hata hujapata
starter?............nitaendelea verse ya pili ukifika mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu leo ni siku maalumu, nataka niuanze mwaka kwa mambo mapya! Hapa nipo ndani ya treni nakuja Dar! Na muda mfupi treni ndiyo imeanza safari,
Sina sehemu ya kuaminika ya kufikia, kwahiyo kama utakuwa na kazi, Tafadhali nisaidie, Na elimu yangu ni darasa la Saba 0744472252 Ni namba yangu.
Ukifika dar jiunge na ccm utatusua tu unaweza ukawa hata mkuu wa mkoa hata kama ni la 7Tumefika kituo cha Rwiche hapa wakuu!
Tumefika kituo cha Rwiche hapa wakuu!
Ukifika dar jiunge na ccm utatusua tu unaweza ukawa hata mkuu wa mkoa hata kama ni la 7
Ila lazima uteseke kidogo siku za kwanza. kuujua mji, watu, connection, dili.
Naona nimekukwaza kwa Elimu yangu ndogo, "Nisamehe"
hata kama ni mwaka..sawa tu
Kwa mwendo huo, tarajia mtafika Tabora saa kumi na moja - kumi na mbili alfajiri.
Kwa mwendo huo, tarajia mtafika Tabora saa kumi na moja - kumi na mbili alfajiri.
Hapo mtakaa mkisubiri treni ya kutoka Mwanza ifike ili muunganishe mabehewa kwaajili ya safari ya kwenda Dar.
Hivyo tarajia kuondoka Tabora mida ya saa mbili - tatu asubuhi
Kinondoni mkwajuni (amagambo ni bukebuke)Kuna sehemu nimepita waendesha vitoroli wote ni Waha. Karibu Dar.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku moja tufanye tour tuwe kampani au vipiYaani nimemiss hizo safari jaman..dah...tena km una kampani dah..