Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]we wa kwetu kabisa: wanawake bana hawaruhusiwi labda uje ukate leseni uwe brokernuunganishe hilo dili mm..au wanawake hawaruhusiwi..?nataka piga kaz chin
Na chini huwezi kwenda kabisa ni mziki mnenenuunganishe hilo dili mm..au wanawake hawaruhusiwi..?nataka piga kaz chin
Na chini huwezi kwenda kabisa ni mziki mnenenuunganishe hilo dili mm..au wanawake hawaruhusiwi..?nataka piga kaz chin
Yaani anamaanisha usifungue mada mpya endeleza pale ulipoanzisha mada yako ya safari kutoka kigoma kuja darMbona update naweka kaka!
Hapa wanasema tumefika Ruvu stesheni, nisaidie kama utakuwa na kazi kaka, nakuomba!
Tupia picha, we ni demu au?!Wakuu ile safari yangu nadhani leo itafika mwisho, Kwahiyo nisaidieni wakuu, Mnisaidie japo kazi ili nipate hela ya kula.
Dakika kadhaa nyuma ndiyo tumeondoka hapa stesheni ya Morogoro, Asanteni!
huuuhhhhhuuu RUVU😊Hapa wanasema tumefika Ruvu
Haya ukifika dam na cheti chako nitafute pm. Utapata kuna kazi ipo buguruni kimbokaNiliishia darasa la saba! Ila nilifaulu, matatizo kadhaa yalinifanya nishindwe kuingia kidato cha kwanza! Kwahiyo mkuu, nisaidie kazi kama ipo!
njoo ulale kwangu🤔Ndio unipokee sasa mkuu, hata siku kadhaa tu.