Nakuja Dar... Mrembo aliye tayari tuonane

Nakuja Dar... Mrembo aliye tayari tuonane

Sa ivi nshalianzisha
d053a41f5cddc1023ca60c3fe313c252.jpg
Ok ok.
 
Naanza safari mida hii nikitokea Msata kilingeni... Nina ishu ya kufanya hapo bandarini mpaka saa nne takuwa nimemaliza
Kwa heshima kuu nitaomba mrembo aliye tayari tuonane japo kwa kinywaji na story kidogo... Sitegemei kulala Dar nitarudi huku jioni...
Nitakuwa nachungulia PM mara kwa mara
Pls welcome
Zamu ya wanaume ikifika unishtue
 
Naanza safari mida hii nikitokea Msata kilingeni... Nina ishu ya kufanya hapo bandarini mpaka saa nne takuwa nimemaliza
Kwa heshima kuu nitaomba mrembo aliye tayari tuonane japo kwa kinywaji na story kidogo... Sitegemei kulala Dar nitarudi huku jioni...
Nitakuwa nachungulia PM mara kwa mara
Pls welcome
Dah...Prof..mie nakupa ushauri wa bure kabisa....usithubutu kwenda bandarini....dili zote zimefungwa....bora urudi Msata tu ukaendelee na "tafiti" zako [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mzee uliruka stage ya utoto au?? Maana nyuzi unazoandika ata mwanangu hawezi kuwa na akili mpakato kiasi hiki..rubbish kabisa!
Dah...huu unafiki wa hali ya juu..... Nani mwanaume asiyependa Ku Ti er humu? [emoji87]
 
Back
Top Bottom