Nakuja Dar... Mrembo aliye tayari tuonane

Nakuja Dar... Mrembo aliye tayari tuonane

Naanza safari mida hii nikitokea Msata kilingeni... Nina ishu ya kufanya hapo bandarini mpaka saa nne takuwa nimemaliza
Kwa heshima kuu nitaomba mrembo aliye tayari tuonane japo kwa kinywaji na story kidogo... Sitegemei kulala Dar nitarudi huku jioni...
Nitakuwa nachungulia PM mara kwa mara
Pls welcome
Wanaume wa Dar mmekua hamna makali kiasi hichi? Vipi mnataka kitonga kwenye hadi haya mambo
 
London baby kishaanza kuharibu akili za watu humu.
 
Haha!, yaani ukisoma title ya uzi then comment yake lazima ucheke tu, inaonekana ni mzee mmoja mwenye frustration atari haha!!
Haaa haaa ngoja akusikie!

Halafu ukijibishana nae tuu wote mnakula Ban[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mkuu naomba lifti ya kurudi kama una kausafiri binafsi[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Back
Top Bottom