Wewe naomba unipokee mimi huko ghetto kwako. Nakaa wiki tu. Nakuahidi nitafanya usafi na kupika.Unataka upokelewe na jinsia ya kiume? ama hata sisi wadada tunaweza kukupokea? Karibu sana ghetto la kike[emoji23]
Nipo Dom mkuu
Baby karibu sana nitakusubiri Shekilango
[emoji23] [emoji1787] Nilihisi kuna miyeyusho mmoja atakumbushia tu [emoji23] [emoji1787]Hivi dear cute unakumbuka kuhusu ile 7800?[emoji14]
Sitoisahau ile na sweta limeandikwa Tanzania,alafu eti ni kafupiii jamani😂😂[emoji23] [emoji1787] Nilihisi kuna miyeyusho mmoja atakumbushia tu [emoji23] [emoji1787]
Wee mbona hutanitonya nikununulie lunchNipo Dom mkuu
Alikuwa ni maghala sijui manani [emoji23]Sitoisahau ile na sweta limeandikwa Tanzania,alafu eti ni kafupiii jamani[emoji23][emoji23]
Yes nadhani ni huyo, nilicheka sanaAlikuwa ni maghala sijui manani [emoji23]