Nakukumbuka, asante sana

Nakukumbuka, asante sana

Komaa wewe acha kulia lia, utakutana na wanawake wazuri kuliko huyo x wako kuanzia shape, sura mpaka tabia, kuachana ni fursa ya kutafuta kilicho bora zaidi, furahia hiyo talaka
 
'They say time is a healer, then hope that you will heal as days go on. Use your fond memories with her as moments to cherish and appreciate what you had with her.
As for your little angel, she will always be your little angel, she carries a part of your DNA that nothing can erase.
May the good lord grant you acceptance of what you are going through and restore your joy in life again'
.
Thanks man#Toxic Concotion
Mzee baba hadi mwanamke kukuomba talaka jua alisha piga fmhesabu zake zote na akakuona wewe ni takataka humpeleki popote. Na mission yake kwako imeisha.

Na hapa kurudi kwa huyo mwanamke ni hadi apigike huko aliko ...zaidi ya hapo unasubiri mananasi kwenye shamba la mapela .


Kama huamini endelea kujibebisha na hizo lito enjo [emoji16][emoji16][emoji16]

Imetoka hiyo
 
Relax ,it come and go just chill, nothing is permanent,enjoy maisha ,usikubali hisia zikuendeshe uta pata stress mwishowe uta dead bureee[emoji23]
 
Ni mwaka sasa unakaribia kuisha tangu uamue kuniandikia ujumbe wa kuhitaji talaka baada ya ndoa yetu kudumu kwa miaka miwili na miezi minane tu.

Bado nakukumbuka sana mpenzi. Sichoki kukumbuka nyakati nzuri ambazo tulikaa pamoja. I still remember that glorious morning in the church, in that beautiful dress, you looked beautiful dear.

Sijajua ulikutana na changamoto gani ya kuhitaji talaka na ukaamua kutokuwa hewani bila kujua maumivu ninayopitia. I miss my little girl, G. Najua utasoma ujumbe wangu hapa JF.

Ni uamzi mzuri kuondoka lakini I just need one more chance to say a word to my little angel.
Yani mapenzi yanauma kama utayaendekeza maumivu
Usilazimishe wala usimuwaze mtu ambae amekuumiza na ukitaka kumsahau haraka fikilia kuhusu mabaya yake tu na sio mazuri na Hilo gauni alilovaa siku hyo fikilia tu lilimkaaa ovyo na angekua mwanamke na shape tofauti na rangi tofauti lingemkaa vzuri zaid na zaid.


Kama huyo mwanamke atasoma hii comment yangu basi "Ww mwanamke utajutia maamuzi yako ya kubaki moyoni kwa watu kwa ubaya na sio kwa upendo na uzuri"
 
Ni mwaka sasa unakaribia kuisha tangu uamue kuniandikia ujumbe wa kuhitaji talaka baada ya ndoa yetu kudumu kwa miaka miwili na miezi minane tu.

Bado nakukumbuka sana mpenzi. Sichoki kukumbuka nyakati nzuri ambazo tulikaa pamoja. I still remember that glorious morning in the church, in that beautiful dress, you looked beautiful dear.

Sijajua ulikutana na changamoto gani ya kuhitaji talaka na ukaamua kutokuwa hewani bila kujua maumivu ninayopitia. I miss my little girl, G. Najua utasoma ujumbe wangu hapa JF.

Ni uamzi mzuri kuondoka lakini I just need one more chance to say a word to my little angel.
Kuna wanawake wengi Sana wema na wazuri.
 
Kashashikiwa akili huyo ,kuna baadhi ya ma_men wanawaloga sana wanawake waliopo kwenye ndoa ambao wanawapenda na kuzivuruga ndoa ,wewe achana nae siku madawa yakiisha na akili zikimjia ndio ataona kwamba aliingia chaka.
 
Mwenzio anashikiliwa kiuno uko nga ngaa we unamkumbuka aya kamsaidie kumshikia mguu atiwe vizuri
 
Kashashikiwa akili huyo ,kuna baadhi ya ma_men wanawaloga sana wanawake waliopo kwenye ndoa ambao wanawapenda na kuzivuruga ndoa ,wewe achana nae siku madawa yakiisha na akili zikimjia ndio ataona kwamba aliingia chaka.
Upo sahii kabisa nina kisa cha kweli kabisa ila huyu nae alienda kwa wazee wakafanya yao akarudi ,wengi hulogwa
 
Watu wengi wanaochangia hapa ni watoto, hawajui maisha, hawajui familia, Wala hawajawahi kuwa na Ile feeling ya kuitwa Baba, hasa ukiwa na mtoto wa Kike, ndio maana wanaropokwa tu, narudia Tena, familia sio MBUSUSU Tu, acheni utoto
Pole sana mkuu.Exiperience za watu kwenye maisha zinatofautiana sanaaa.
Ukiona mtu anadharau tatizo lako sababu yaweza kuwa sii utoto kama unavyodai.Ila sababu yaweza kuwa akiliangalia kinachokuliza may be anaona ni kitu kidogo mnooo ambacho kwa umri wako hupaswi kukaa chin ukalia lia..

Ni sawa nikute kijana wangu wa darasa la sita analizwa na mdogo ake wa darasa la kwanza, nitamchapa viboko badala ya kumhurumia.

So heshim mawazo ya watu kisha taka kujua ujasiri huo wanaupata wapi .
 
Pole sana mkuu.Exiperience za watu kwenye maisha zinatofautiana sanaaa.
Ukiona mtu anadharau tatizo lako sababu yaweza kuwa sii utoto kama unavyodai.Ila sababu yaweza kuwa akiliangalia kinachokuliza may be anaona ni kitu kidogo mnooo ambacho kwa umri wako hupaswi kukaa chin ukalia lia..

Ni sawa nikute kijana wangu wa darasa la sita analizwa na mdogo ake wa darasa la kwanza, nitamchapa viboko badala ya kumhurumia.

So heshim mawazo ya watu kisha taka kujua ujasiri huo wanaupata wapi .
Hahahahaaa kwahio wote Wana the same experience? Anyway good day
 
Ni mwaka sasa unakaribia kuisha tangu uamue kuniandikia ujumbe wa kuhitaji talaka baada ya ndoa yetu kudumu kwa miaka miwili na miezi minane tu.

Bado nakukumbuka sana mpenzi. Sichoki kukumbuka nyakati nzuri ambazo tulikaa pamoja. I still remember that glorious morning in the church, in that beautiful dress, you looked beautiful dear.

Sijajua ulikutana na changamoto gani ya kuhitaji talaka na ukaamua kutokuwa hewani bila kujua maumivu ninayopitia. I miss my little girl, G. Najua utasoma ujumbe wangu hapa JF.

Ni uamzi mzuri kuondoka lakini I just need one more chance to say a word to my little angel.
Ulikua unaichakata vizuri?
 
Back
Top Bottom