Nakukumbuka Festo

Nakukumbuka Festo

Yes...Kiiza Byesige..sura chachu😀
Hahaha Byesige ana sura chachu sana kama mwanamuziki Seal ila Seal anang'oa Pisi kali kinoma ingawa ana sura ya kazi.

SEAL.jpg




Cc: Bushmamy
 
Nope...sijakutana naye kisa ana pesa...ni penzi tu lilininogea...

Ilikuwaje mkaseparate? na kwanini usimgande kama mademu wengine wanavyomng'ang'ania ME wanayempenda au ulipigwa kibuti? Maswali yatakuwa mengi wadau wameomba story yako na festo irudiwe irudiwe maana wakati festo "anasimamia kucha" hatukuhadithiwa.

 
Alikua ananibembeleza mno mno...he is a kisser ...very loving guy..hakinai...! Anakumbembeleza kunako[emoji24][emoji24][emoji24]! Talking with me here n there[emoji56][emoji56][emoji56]
Vp show km show ..ilikuaje apart from hizo blah blah [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
90% ni kama wote vile ie: 0.9 ~ 1.0 (rounding off to a nearest integer )

ex wangu wote walikua wanatumia neno 'nimekumisi' kutaka dushe

bibie mtoa mada hapo anataka dushe la 'Festo', hawezikana hii posti
Very very true....
 
Back
Top Bottom