mhuri25
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 2,780
- 3,733
MAJIMBO yote ya UPINZANI Dar yanahali mbaya sana, wasipokaa makini wanaweza kosa majimbo yote labda tu watu waamue kuchagua chama ila sio kujali tathmin ya 2015-2020..
Masuala ya kitaifa ndio wamekomalia haswaa, hivi unaenda kumueleza mtu wa ubungo/kawe/kibamba kuwa speaker wa bunge la JMT ni mbabe yatamsaidia nini. Waheshimiwa majimboni hata hawaonekani kili kukicha mara wapo KISUTU mara kususia uchaguzi mara wakapambane na Askari jela Segerea.
Masuala ya kitaifa ndio wamekomalia haswaa, hivi unaenda kumueleza mtu wa ubungo/kawe/kibamba kuwa speaker wa bunge la JMT ni mbabe yatamsaidia nini. Waheshimiwa majimboni hata hawaonekani kili kukicha mara wapo KISUTU mara kususia uchaguzi mara wakapambane na Askari jela Segerea.