Uchaguzi 2020 Nakukumbusha Kitila Mkumbo , kwamba 2015 CHADEMA ilimshinda Didas Masaburi wa CCM kwa tofauti ya zaidi ya kura elfu 10

Uchaguzi 2020 Nakukumbusha Kitila Mkumbo , kwamba 2015 CHADEMA ilimshinda Didas Masaburi wa CCM kwa tofauti ya zaidi ya kura elfu 10

MAJIMBO yote ya UPINZANI Dar yanahali mbaya sana, wasipokaa makini wanaweza kosa majimbo yote labda tu watu waamue kuchagua chama ila sio kujali tathmin ya 2015-2020..


Masuala ya kitaifa ndio wamekomalia haswaa, hivi unaenda kumueleza mtu wa ubungo/kawe/kibamba kuwa speaker wa bunge la JMT ni mbabe yatamsaidia nini. Waheshimiwa majimboni hata hawaonekani kili kukicha mara wapo KISUTU mara kususia uchaguzi mara wakapambane na Askari jela Segerea.
 
MAJIMBO yote ya UPINZANI Dar yanahali mbaya sana, wasipokaa makini wanaweza kosa majimbo yote labda tu watu waamue kuchagua chama ila sio kujali tathmin ya 2015-2020..


Masuala ya kitaifa ndio wamekomalia haswaa, hivi unaenda kumueleza mtu wa ubungo/kawe/kibamba kuwa speaker wa bunge la JMT ni mbabe yatamsaidia nini. Waheshimiwa majimboni hata hawaonekani kili kukicha mara wapo KISUTU mara kususia uchaguzi mara wakapambane na Askari jela Segerea.
Tutawaambia unyama wa serikali ya awamu ya 5 , kwamba ukikosoa unamiminiwa risasi kama alivyomiminiwa Tundu Lissu
 
Tutawaambia unyama wa serikali ya awamu ya 5 , kwamba ukikosoa unamiminiwa risasi kama alivyomiminiwa Tundu Lissu
Yatamsaidia nini mwananchi wa chini kabisa ambae maji safi, huduma bora za afya uhakika na upatikanaji wa barabara kwake ni ndoto, hebu KAMANDA wakati mwingine muwe serious na uchaguzi
 
Back
Top Bottom