Nakukumbusha tu mwanaume mwenzangu

lossoJR

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2012
Posts
2,711
Reaction score
2,384
Nakukumbusha tu kuwa ukihonga elfu kumi kumbuka yafuatayo:-

*1.* Ni bei ya sato kilo moja

*2.* Kuku wa nyama mmoja

*3.*kilo 2 za nyama ya ng'ombe

*4.*Sukari kilo 3

*5*. Donna kilo 4

*6.* Mchele kilo 4 super kabisa

*7.* Maziwa ya ng'ombe lita 4

*8.* Soda take away 10

*9.* Castle lite 4

*10.* Petrol lita 5

*11* nauli ya safari 13 za Mwendo kasi

*12.* Chocolote ivory
dogo 20

*13*. Mayai tray moja kizungu

*14*. Nauli na kiingilio cha mechi ya simba na yanga

*Endelea kuhonga hatutakusaidia kwa lolote ila utaambulia Ushauri tu....*

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Papuchi za bure utazipa wapi jombaa
 
Mwanamke lazima umpendezeshe unapeleka shopping m inakatika hata ulicho nunua hakionekani wewe unawaza10000 hata usafi wa.kucha haiwezi kutosha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…