Na nyie muanze kututongoza. Raha tupate wote, halafu mmoja alipwe!!Basi msitongoze
Mkuu wa kaya kakaza..tuvumiliane tu ah kila mtu atafute vyakeUbahiri mwingine mfuuuuu
Hivi nani aliwaambia sisi tumezaliwa kuwatunza??? Hii dhana inatoka wapi??Mwanamke lazima umpendezeshe unapeleka shopping m inakatika hata ulicho nunua hakionekani wewe unawaza10000 hata usafi wa.kucha haiwezi kutosha
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wewe ndie UNAJIELEWA mama...ubarikiwe sana na uzidishiweSitokaa nitegemee hela ya mwanaume, na Mungu unisaidie....