lossoJR
JF-Expert Member
- Oct 11, 2012
- 2,711
- 2,384
Nakukumbusha tu kuwa ukihonga elfu kumi kumbuka yafuatayo:-
*1.* Ni bei ya sato kilo moja
*2.* Kuku wa nyama mmoja
*3.*kilo 2 za nyama ya ng'ombe
*4.*Sukari kilo 3
*5*. Donna kilo 4
*6.* Mchele kilo 4 super kabisa
*7.* Maziwa ya ng'ombe lita 4
*8.* Soda take away 10
*9.* Castle lite 4
*10.* Petrol lita 5
*11* nauli ya safari 13 za Mwendo kasi
*12.* Chocolote ivory
dogo 20
*13*. Mayai tray moja kizungu
*14*. Nauli na kiingilio cha mechi ya simba na yanga
*Endelea kuhonga hatutakusaidia kwa lolote ila utaambulia Ushauri tu....*
Sent using Jamii Forums mobile app
*1.* Ni bei ya sato kilo moja
*2.* Kuku wa nyama mmoja
*3.*kilo 2 za nyama ya ng'ombe
*4.*Sukari kilo 3
*5*. Donna kilo 4
*6.* Mchele kilo 4 super kabisa
*7.* Maziwa ya ng'ombe lita 4
*8.* Soda take away 10
*9.* Castle lite 4
*10.* Petrol lita 5
*11* nauli ya safari 13 za Mwendo kasi
*12.* Chocolote ivory
dogo 20
*13*. Mayai tray moja kizungu
*14*. Nauli na kiingilio cha mechi ya simba na yanga
*Endelea kuhonga hatutakusaidia kwa lolote ila utaambulia Ushauri tu....*
Sent using Jamii Forums mobile app