Nakukumbusha tu mwanaume mwenzangu

Lijaaa linatutisha na jua kuwa hata Siku moja hautapewa nyapu ya Bure

Wala kuiokota K

Mpe anae kupa
 
Ukipasuka dada yngu nitapata wapi mwingine km wewe???

Jumbe zko sijaziona na mda kweli sijaingia humu
Hahaaaa. Ndio hapo sasaa.

Hakuna shida kama hujaziona mdogo wangu. Nafurahi kukuona upo bukheri wa afya. [emoji8] [emoji8]
 
Mmh. Ukianza kuwaza hivyo mwisho wa siku hata kufanya matumizi yako binafsi utashindwa.

Punguzeni kulalamika ndio mana zipo jinsia mbili na sio moja.

Nipe namba yako nikutumie elfu 10.
 

Kila mtu apambane na hali yake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…