Nakukumbusha tu: Ukihonga elfu kumi kumbuka yafuatayo

Ukihonga shiling elfu 10,000
Ni bei ya....

1)Sato kilo 1
2)Kuku 1 wa nyama
3)Kilo1.5 za nyama ya ng'ombe
4)Sukari kilo 3
5)Donna kilo 6
6)Mchele super kilo 4
7)Maziwa ya ng'ombe kilo 4
8)Soda take away 10
9)Castle lite 4
10)Petrol lita 4.5
11)Nauli ya safari 14 za mwendo kasi
12)Mayai ya kisasa tray 1
13)Umeme unit 28
14)Mchemsho wa kuku 2
15)Nauli ya Dar moro na chenji inabaki

Mengine malizia mwenyewe
 
16.Mafuta ya kupikia nusu lita chupa 2 na chenji inabaki.
17.pork nusu kilo na ugali na chenji ya Safari.
18.mikate kumi ' super loaf
 
Hyo elfu 10.jana nimemtumia mtu alafu hajaja. Nikashukuru mungu. Demu akikataa kuja uwa naamini kuna kitu mungu kaniepusha.
Na hela zangu zingine zitakuwa zimesalimika
 
Acheni utani 10,000/= dume haswa umebarehe ndiyo unapumzikia kifuani kwa mtoto wa watu.

Acheni mZaha hawa ni Dada zetu inatakiwa wapendeze .
 
bila kuhonga utapata mwanamke bro?mademu wanashida nyingi mojawapo kujiweka safi na afya lazima uwasuport na ww upendwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…