Nakukumbusha: Zuhura na Salim Kikeke walikuwa miongoni mwa waliokosoa utawala wa Magufuli wakiwa BBC Swahili


Uzalendo😎
 
Mnafiki yuko kazini,
Ndugu zangu tuepuke saana watu wa namna hii, huyu sura yake ndo hii unayoiona hapa Hana utofaut na huko aliko.

Hawa ndo wale hawafanyi kaz maofisin wao kazi yao nikutafuta maneno ya fitna kwa watu na kupeleka kwa boss,

Huyu ni mnafiki mharibu maisha ya watu alafu ukiangalia kiundani hamn anachopata Ila moyo wake huwa na furaha akiona ameshakuharibia maisha.

Ukute hata huyo dkt magufuli mwenyewe alikuwa hampendi sema tu ametumia hapa ili kushindilia unafiki wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wacha fyokofyoko zako ili iwejesasa ,wewe ndio msemaji wa ikulu roho mbaya tu .Umfute kazi basi kama unaweza au una uwezo kakojoe ukalale.
 
Chaaz Hilal nae vp hakuwa "mkuda" alipokua BBC London
Da huyo ndio asipate kabisa laanu llahi hao ndio Mafitani wakubwa sijui kama sio yeye huyo(Pascal )Naona kama ndio style zake ni watu wa fitna na wadini wana roho mbaya sana na wabaya sana iblisi.
 
Acha ujinga sibahatishi kuhusu hili Zuhura Yunus na Salim Kikeke walishahojiwa sana na wakaongea ushuzi mtupu, my friend don't joke nenda YouTube records zipo. Hao hawafai kuwa sehemu ya Serikali ya taifa hili tena chini ya utawaywa CCM
Waliongea ushuzi gani?.Weka taarifa sawa vinginevyo ni wivu au ushamba unakusumbua.
 
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji375]
 
Acha ujinga sibahatishi kuhusu hili Zuhura Yunus na Salim Kikeke walishahojiwa sana na wakaongea ushuzi mtupu, my friend don't joke nenda YouTube records zipo. Hao hawafai kuwa sehemu ya Serikali ya taifa hili tena chini ya utawaywa CCM
wivu na roho mbaya zitawaua jamani
 
Konzi imekukaa una lipuka mapepo
 
Asikosolewe kwani yeye nani?

Kuna Rais yupi Tanzania hakosolewi?
 
Asikosolewe kwani yeye nani?

Kuna Rais yupi Tanzania hakosolewi?
Impact yao haikuwa kwa Rais hawakuwa na mizania na uzalendo kwa taifa letu, awaye yeyote ambaye alikuwa ana wafuatilia nyakati zao you tube has a lot to tell about these crooks
 
Kwako mleta mada yeyote aliyemkosoa Magufuli hafai? Huu ni uchawa uliozidi!
 
Labda kuna wapinzani wa ndani walikuwa wanawatuma
 
Hao walikuwa kwenye payroll za mstaafu kuchafua utawala wa magufuli


Wanalipwa fadhila


Kikeke anasubiria ukurugenzi wa tbc
 
Upeo wako mdogo

Hivi wewe mpaka Zuhra anateuliwa kuwa afisa habari ujue hayo yote yalitafutwa,Veting ilifanyika.Nikikuambia mtoto wa juzi wewe Hujui na hutaki kuelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…