Nakukumbusha: Zuhura na Salim Kikeke walikuwa miongoni mwa waliokosoa utawala wa Magufuli wakiwa BBC Swahili

Nakukumbusha: Zuhura na Salim Kikeke walikuwa miongoni mwa waliokosoa utawala wa Magufuli wakiwa BBC Swahili

Acha mawazo uchawara...

BBC sio shirika la zuhura Yunusi au Salim Kikeke... Wao ni wasomaji habari tu, wanaletewa habari ambayo tayari imashahaririwa, yeye ni kusoma tu.

Sasa unataka kuwapa lawama, wakati wao wameajiriwa tu, na habari wameletewa tu.

Laumu Shirika na si mtu husika

UzalendošŸ˜Ž
 
Tafadhari sana Watanzania nawakumbusha kwa rejea ya hawa watu Zuhura Yunus na Salim Kikeke nyakati za utawala wa Ndugu Hayati Rais Magufuli hawa viumbe hawakuwa na taswira wala nafsi zenye uzalendo na upendo kwa Taifa letu, na si hivyo tu pia hawakuwahi kuwa na news contents zenye kuinua taswira za taifa na Viongozi wetu hata awamu ya Mstaafu Rais Kikwete ndimi zao wakiwa BBC Swahili London.

Sioni sababu yoyote ya msingi ya kumjadili na kuwaza kuhusu haki ya fursa ya uteuzi kwa nafasi yoyote kwa Salim Kikeke.

Hata Zuhura Yunus ni aibu kuwa pale alipo kwa sasa, hana sifa ya kuonekana state house/ikulu, tangu Zuhura Yunus ateuliwe kwenye Ile nafasi alichokuwa akisingizia kwa kutuchafua ati kukosekana kwa taarifa toka kwa viongozi na serikali ndio kulifanya wao waiseme Tanzania vibaya.

Salimu Kikeke mna mjadili kama nani, kuna mtu mfano Pascal Mayala ana uwezo mkubwa kwenye tasnia ya habari kuwazid hao wote waandishi wasaliti wa Taifa.

Kikeke potential yake Iko huko TikTok na uteuzi wa Kikeke popote pale utakuwa ni najisi kwa taifa la Tanzania.

Watanzania tuache upumbavu wa kuwa wasahaulifu kwenye mambo ya msingi.

Shukrani [emoji120]

Tukutane kwenye comments

Wadiz
Mnafiki yuko kazini,
Ndugu zangu tuepuke saana watu wa namna hii, huyu sura yake ndo hii unayoiona hapa Hana utofaut na huko aliko.

Hawa ndo wale hawafanyi kaz maofisin wao kazi yao nikutafuta maneno ya fitna kwa watu na kupeleka kwa boss,

Huyu ni mnafiki mharibu maisha ya watu alafu ukiangalia kiundani hamn anachopata Ila moyo wake huwa na furaha akiona ameshakuharibia maisha.

Ukute hata huyo dkt magufuli mwenyewe alikuwa hampendi sema tu ametumia hapa ili kushindilia unafiki wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafadhari sana Watanzania nawakumbusha kwa rejea ya hawa watu Zuhura Yunus na Salim Kikeke nyakati za utawala wa Ndugu Hayati Rais Magufuli hawa viumbe hawakuwa na taswira wala nafsi zenye uzalendo na upendo kwa Taifa letu, na si hivyo tu pia hawakuwahi kuwa na news contents zenye kuinua taswira za taifa na Viongozi wetu hata awamu ya Mstaafu Rais Kikwete ndimi zao wakiwa BBC Swahili London.

Sioni sababu yoyote ya msingi ya kumjadili na kuwaza kuhusu haki ya fursa ya uteuzi kwa nafasi yoyote kwa Salim Kikeke.

Hata Zuhura Yunus ni aibu kuwa pale alipo kwa sasa, hana sifa ya kuonekana state house/ikulu, tangu Zuhura Yunus ateuliwe kwenye Ile nafasi alichokuwa akisingizia kwa kutuchafua ati kukosekana kwa taarifa toka kwa viongozi na serikali ndio kulifanya wao waiseme Tanzania vibaya.

Salimu Kikeke mna mjadili kama nani, kuna mtu mfano Pascal Mayala ana uwezo mkubwa kwenye tasnia ya habari kuwazid hao wote waandishi wasaliti wa Taifa.

Kikeke potential yake Iko huko TikTok na uteuzi wa Kikeke popote pale utakuwa ni najisi kwa taifa la Tanzania.

Watanzania tuache upumbavu wa kuwa wasahaulifu kwenye mambo ya msingi.

Shukrani šŸ™

Tukutane kwenye comments

Wadiz
Wacha fyokofyoko zako ili iwejesasa ,wewe ndio msemaji wa ikulu roho mbaya tu .Umfute kazi basi kama unaweza au una uwezo kakojoe ukalale.
 
Chaaz Hilal nae vp hakuwa "mkuda" alipokua BBC London
Da huyo ndio asipate kabisa laanu llahi hao ndio Mafitani wakubwa sijui kama sio yeye huyo(Pascal )Naona kama ndio style zake ni watu wa fitna na wadini wana roho mbaya sana na wabaya sana iblisi.
 
Acha ujinga sibahatishi kuhusu hili Zuhura Yunus na Salim Kikeke walishahojiwa sana na wakaongea ushuzi mtupu, my friend don't joke nenda YouTube records zipo. Hao hawafai kuwa sehemu ya Serikali ya taifa hili tena chini ya utawaywa CCM
Waliongea ushuzi gani?.Weka taarifa sawa vinginevyo ni wivu au ushamba unakusumbua.
 
Acha mawazo uchawara...

BBC sio shirika la zuhura Yunusi au Salim Kikeke... Wao ni wasomaji habari tu, wanaletewa habari ambayo tayari imashahaririwa, yeye ni kusoma tu.

Sasa unataka kuwapa lawama, wakati wao wameajiriwa tu, na habari wameletewa tu.

Laumu Shirika na si mtu husika
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji375]
 
Acha ujinga sibahatishi kuhusu hili Zuhura Yunus na Salim Kikeke walishahojiwa sana na wakaongea ushuzi mtupu, my friend don't joke nenda YouTube records zipo. Hao hawafai kuwa sehemu ya Serikali ya taifa hili tena chini ya utawaywa CCM
wivu na roho mbaya zitawaua jamani
 
Mnafiki yuko kazini,
Ndugu zangu tuepuke saana watu wa namna hii, huyu sura yake ndo hii unayoiona hapa Hana utofaut na huko aliko.

Hawa ndo wale hawafanyi kaz maofisin wao kazi yao nikutafuta maneno ya fitna kwa watu na kupeleka kwa boss,

Huyu ni mnafiki mharibu maisha ya watu alafu ukiangalia kiundani hamn anachopata Ila moyo wake huwa na furaha akiona ameshakuharibia maisha.

Ukute hata huyo dkt magufuli mwenyewe alikuwa hampendi sema tu ametumia hapa ili kushindilia unafiki wake

Sent using Jamii Forums mobile app
Konzi imekukaa una lipuka mapepo
 
Tafadhari sana Watanzania nawakumbusha kwa rejea ya hawa watu Zuhura Yunus na Salim Kikeke nyakati za utawala wa Ndugu Hayati Rais Magufuli hawa viumbe hawakuwa na taswira wala nafsi zenye uzalendo na upendo kwa Taifa letu, na si hivyo tu pia hawakuwahi kuwa na news contents zenye kuinua taswira za taifa na Viongozi wetu hata awamu ya Mstaafu Rais Kikwete ndimi zao wakiwa BBC Swahili London.

Sioni sababu yoyote ya msingi ya kumjadili na kuwaza kuhusu haki ya fursa ya uteuzi kwa nafasi yoyote kwa Salim Kikeke.

Hata Zuhura Yunus ni aibu kuwa pale alipo kwa sasa, hana sifa ya kuonekana state house/ikulu, tangu Zuhura Yunus ateuliwe kwenye Ile nafasi alichokuwa akisingizia kwa kutuchafua ati kukosekana kwa taarifa toka kwa viongozi na serikali ndio kulifanya wao waiseme Tanzania vibaya.

Salimu Kikeke mna mjadili kama nani, kuna mtu mfano Pascal Mayala ana uwezo mkubwa kwenye tasnia ya habari kuwazid hao wote waandishi wasaliti wa Taifa.

Kikeke potential yake Iko huko TikTok na uteuzi wa Kikeke popote pale utakuwa ni najisi kwa taifa la Tanzania.

Watanzania tuache upumbavu wa kuwa wasahaulifu kwenye mambo ya msingi.

Shukrani šŸ™

Tukutane kwenye comments

Wadiz
Asikosolewe kwani yeye nani?

Kuna Rais yupi Tanzania hakosolewi?
 
Asikosolewe kwani yeye nani?

Kuna Rais yupi Tanzania hakosolewi?
Impact yao haikuwa kwa Rais hawakuwa na mizania na uzalendo kwa taifa letu, awaye yeyote ambaye alikuwa ana wafuatilia nyakati zao you tube has a lot to tell about these crooks
 
Kwako mleta mada yeyote aliyemkosoa Magufuli hafai? Huu ni uchawa uliozidi!
 
Tafadhari sana Watanzania nawakumbusha kwa rejea ya hawa watu Zuhura Yunus na Salim Kikeke nyakati za utawala wa Ndugu Hayati Rais Magufuli hawa viumbe hawakuwa na taswira wala nafsi zenye uzalendo na upendo kwa Taifa letu, na si hivyo tu pia hawakuwahi kuwa na news contents zenye kuinua taswira za taifa na Viongozi wetu hata awamu ya Mstaafu Rais Kikwete ndimi zao wakiwa BBC Swahili London.

Sioni sababu yoyote ya msingi ya kumjadili na kuwaza kuhusu haki ya fursa ya uteuzi kwa nafasi yoyote kwa Salim Kikeke.

Hata Zuhura Yunus ni aibu kuwa pale alipo kwa sasa, hana sifa ya kuonekana state house/ikulu, tangu Zuhura Yunus ateuliwe kwenye Ile nafasi alichokuwa akisingizia kwa kutuchafua ati kukosekana kwa taarifa toka kwa viongozi na serikali ndio kulifanya wao waiseme Tanzania vibaya.

Salimu Kikeke mna mjadili kama nani, kuna mtu mfano Pascal Mayala ana uwezo mkubwa kwenye tasnia ya habari kuwazid hao wote waandishi wasaliti wa Taifa.

Kikeke potential yake Iko huko TikTok na uteuzi wa Kikeke popote pale utakuwa ni najisi kwa taifa la Tanzania.

Watanzania tuache upumbavu wa kuwa wasahaulifu kwenye mambo ya msingi.

Shukrani šŸ™

Tukutane kwenye comments

Wadiz
Labda kuna wapinzani wa ndani walikuwa wanawatuma
 
Hao walikuwa kwenye payroll za mstaafu kuchafua utawala wa magufuli


Wanalipwa fadhila


Kikeke anasubiria ukurugenzi wa tbc
 
Back
Top Bottom