mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Acha mawazo uchawara...
BBC sio shirika la zuhura Yunusi au Salim Kikeke... Wao ni wasomaji habari tu, wanaletewa habari ambayo tayari imashahaririwa, yeye ni kusoma tu.
Sasa unataka kuwapa lawama, wakati wao wameajiriwa tu, na habari wameletewa tu.
Laumu Shirika na si mtu husika
Uzalendoš