Nakula ila Sipati choo msaada jamani

Mkuu hiyo hali ni hatari sana, huanza kwapata watu miaka 40 na kuendelea
Tiba
Kunywa maji mengi sana taratibu kwa siku nzima na huu uwe utaratibu wako
Fanya mazoezi angalau tembea 10 km kwa siku kwa speed (usidharau hii tiba) itakusaidia.
Kula matunda kama papai parachichi,
Ukipata mafuta ya mnyonyo weka kijiko kimoja ama 2 kwenye uji kunywa utanishukuru
 
Acha m

Acha mkuu,ukiona jambo ni gumu nilifanye kuwa la kawaida na baadae utaona mambo yatakavyokuwa shwari.
Najitahidi japo Kuna muda najaribu kupinga mawazo Kwa nguvu zote lakini yanakuja subconsciously nikisema niyatatue hua sifikii mwafaka.
 
Ni kweli mkuu Kuna muda napatwa na majuto na Kutamani kusali kumuomba Mungu aniue tu niache
Kuteseka.
 
Kunywa mtindi lita mbili, tatizo
Kunywa mtindi Lita mbili
Au kunywa mafuta ya samaki
Ukishindwa kupata matokeo kunywa mafuta ya nyonyo.
 
Tiba hii ni nzuri sana,jitahidi ufanikishe.
Mimi nimekupatia bure,ukikaidi kuna watu utawafuata kwa malipo tena mkononi na maajabu yake hao utawaelewa na utatii ukidhani unatii ushauri wao lkn kiuhalisia utakuwa unatii fedha utakazokuwa umelipia.
Najitahidi japo Kuna muda najaribu kupinga mawazo Kwa nguvu zote lakini yanakuja subconsciously nikisema niyatatue hua sifikii mwafaka.
She
 
Tiba hii ni nzuri sana,jitahidi ufanikishe.
Mimi nimekupatia bure,ukikaidi kuna watu utawafuata kwa malipo tena mkononi na maajabu yake hao utawaelewa na utatii ukidhani unatii ushauri wao lkn kiuhalisia utakuwa unatii fedha utakazokuwa umelipia.
Najitahidi japo Kuna muda najaribu kupinga mawazo Kwa nguvu zote lakini yanakuja subconsciously nikisema niyatatue hua sifikii mwafaka.
She
 
Alikuwa wa kike mbona na nlikataa lakini naona ndyo tiba inayofaa maana hata naona njia ya choo imekuwa ndogo Sana.
Mkuu umekosa golden chance hyo,,
Hairudi tena.

Ingekuwa mimi ningemvulia nguo zote aone jinsi nilivyoumbika kwa mbele.
 
1. Kunywa juice ya machungwa.. isiwekwe sukari wa maji.. machungwa tupu


2. Kula sana ugali na mlenda ama bamia kwa wingi

3. Kula sana ndizi za kupikwa
 
chukua brenda weka papai,embe,ndizi,maziwa changanya upate juice moja safi kunywa nyingi kiasi
 
Kunywa maji ya kutosha na na ufanye mazoezi mepesi ya viungo pia siyo unafukia na kubonyea siku nzima.

Juisi ya ukwaju wa kuloweka kwenye maji (siyo ya viwandani) inasaidia kupata choo kwa hati ya dharura na ukizidisha unaharisha.
 
Kumbe tiba mujarabu kabisa 😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…