Nakula ila Sipati choo msaada jamani

nenda famas nunua π‚πšπ¬π­π¨π« 𝐎𝐒π₯ ni mafuta ya kuondoa uchafu tumboni.

ila utakunywa vijiko 2 tu na usikae mbali na choo
Kwa hiyo ataperform balaaπŸ˜‚πŸ˜‚
 
pole sana ndugu, nakumbuka nami nimewahi kutokewa na hiyo hali 2011 pale morogoro. siku 4 sikwenda haja kubwa na kula nilikuwa nakula vizuri tu...mkojo pekee ndio nilikuwa nabanwa pia baadae tena ikanitokea 2012 siku 4 nakosa hamu ya kula.....nilienda hospital mazimbu(SUA) pima vyote sikukutwa na tatizo lolote. na nilikuwa nacheza football kama kawaida kila siku, daktari kanipiga maneno na kunipa vidonge vya kuongeza hamu ya kula.....nilihisi nimekuwa mzimu haloo....hadi sasa nipo fresh namtukuza jehova tuu hapa
 
Pole na chagamoto.
Fanya yafutayo.
1. Kila uamkapo pata glass moja ya maji ya vuguvugu kabla ya kula chochote.
2. Tumia mdalasini na tangawizi kwenye chai yako.
3. Kunywa maji yakutosha kabla naa baada ya kula.
4. Kula matunda.

Usipokunyaa nimekaaa paleeeew
 
Kiwango cha fiber unachoingiza ni kidogo ni wazi. Pia intake ya maji sio nzuri. Unapoamka asubuhi kunywa glass 2 za maji ya uvuguvugu (vema vuguvugu inayotoa jasho) husaidia sana kusukuma choo.

Tumia laxatives zitakusaidia kwa wakati ulionao.

Mwisho kabisa jifunze autophagy. Kuwa na desturi ya kufunga masaa 24 anza hapo ukienda ukazoea utakwenda mpaka saa 48. Unapofunga unakua unakunywa maji na veggies kama mlo wako huku ukiendelea na shughuli zako kama kawaida. Kawaida tumbo linahitaji kupumzishwa namna hiyo mwili hujihuisha wenyewe kwa kujisafisha na kuhuisha seli zake. Funga walau mara 2 kwa juma.
 

Polee sana mkuu ila siku ingine ukiona unapata hali kama iyo kula asali kijiko kimoja baada ya kula na asubui!!! Hutosikia tena iyo hali yakukosa choo!!!

Pia kama huna matatizo ya vidonda tumbo pendelea kula vyakula vyenye pilipili yakutosha hutakaa upate ayo mashida,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…