lossoJR
JF-Expert Member
- Oct 11, 2012
- 2,711
- 2,384
Habari.
hakika Mapambano yanaendelea.
Kama upo mbeya au sehem yoyote ya jirani na una Pikipiki(boxer au Tvs) au una wazo la kuwekeza katika usafiri huu. Basi tunaweza kubaliana deal.tukakabidhiana chombo kwa income ya laki mbili kila mwezi, huku maswala mengine ya service na utunzaji yakiwa juu yangu..we niku RELAX huku ukisubiri notification ya Muamala kila Mwezi.
NB: wacha kulaza pesa BANK, wekeza sasa kwa Manufaa.
hakika Mapambano yanaendelea.
Kama upo mbeya au sehem yoyote ya jirani na una Pikipiki(boxer au Tvs) au una wazo la kuwekeza katika usafiri huu. Basi tunaweza kubaliana deal.tukakabidhiana chombo kwa income ya laki mbili kila mwezi, huku maswala mengine ya service na utunzaji yakiwa juu yangu..we niku RELAX huku ukisubiri notification ya Muamala kila Mwezi.
NB: wacha kulaza pesa BANK, wekeza sasa kwa Manufaa.