i did it for fun, kitu kidogo sana hicho kunipasua kichwa mimiJukwaa la chit chat we linakupasua kichwa
hatari kweli nabaadae walikuja kubadili ikawa ni matple choise...unaangalia zako juu unachoma kwenye karatasi kalam iki gota kwenye B ndilo jibu*Nakumbuka mitihani ya Darasa la saba ilikuwa inaanza kama utani utani hivi*
19+87=
219-45=
12x34=
59÷7=
Halafu huko mbele sasa kuanzia swali la sita au la saba hivi...utajutaa!!
"Ndege inatoka Dar s
Forums JF Social Forums (Lounge) JF Chit-Chat
saa tatu asbh kwenda Chato. Na gari Toyota Land cruiser linatoka Chato saa nne asbh kwenda Dar.
Ikiwa spidi ya ndege ni 350km/saa na ya land cruiser ni km220/Saa, na umbali wa Chato-Dar ni KM 900, je, zitakutana saa ngapi?"
Ah, sasa mi ntajuaje???
Na hizi tochi zote barabarani na matuta na ishu ya kusimama kujisaidia...ntawezaje kujua watakutana saa ngapi.
[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Unajikuta umetoka kwenye pepa umejibu maswali manne tu ya mwanzo kati ya hamsini
i see ww umemaliza juzi la saba hilo swali la mafumbo ya mdau lilikuwepo sana tulikuwa tunaziita hesabu za umbali=mwendokasi x mudanimemuelewa ila hilo swali la fumbo sio la darasa la saba, ni la sekondari, nasema hivyo sababu najua solution yake na sio ya la saba
Nimemaliza kitambo sana, na nilishawahi kufundisha hesabu sekondari, ndio maana najua maswali yake yapojei see ww umemaliza juzi la saba hilo swali la mafumbo ya mdau lilikuwepo sana tulikuwa tunaziita hesabu za umbali=mwendokasi x muda
mbona unasema hizo hesabu za umbali=mwendokasi x muda hazipo?Nimemaliza kitambo sana, na nilishawahi kufundisha hesabu sekondari, ndio maana najua maswali yake yapoje
Kumbe umemaliza darasa la saba majuzijuzi,kipindi hicho Rutihinda haikuwepo,shule zilizokuwa noma kwa kufaulisha zilikuwa ni:- Madenge,Muungano zote Temeke, Ubungo NHC,Mlimami,Mapambano,mashujaa zote Kinondoni,kwa Ilala hawakuwa na shule tishio half hivyo vichwa tukawa tunakutana Azania na Tambaza,moto wake ulikuwa si wa kawaida...!!!-MAARIFA
-LUGHA
-HESABU.
Kwa Dar-Es-Salaam ,Enzi Zetu Shule zilizokuwa Zinaongoza kwa Kufaulisha ilikuwa MUUNGANO-TEMEKE na RUTIHINDA zilikuwa noma watu walikuwa wanapiga 150 MUBASHARA.
Haaaaaaa Nimemaliza la 7 mwaka 1989....Haaa hizo Shule zilikuwa Balaaa umenikumbusha mapambano,mlimani.Kumbe umemaliza darasa la saba majuzijuzi,kipindi hicho Rutihinda haikuwepo,shule zilizokuwa noma kwa kufaulisha zilikuwa ni:- Madenge,Muungano zote Temeke, Ubungo NHC,Mlimami,Mapambano,mashujaa zote Kinondoni,kwa Ilala hawakuwa na shule tishio half hivyo vichwa tukawa tunakutana Azania na Tambaza,moto wake ulikuwa si wa kawaida...!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]*Nakumbuka mitihani ya Darasa la saba ilikuwa inaanza kama utani utani hivi*
19+87=
219-45=
12x34=
59÷7=
Halafu huko mbele sasa kuanzia swali la sita au la saba hivi...utajutaa!!
"Ndege inatoka Dar saa tatu asbh kwenda Chato. Na gari Toyota Land cruiser linatoka Chato saa nne asbh kwenda Dar.
Ikiwa spidi ya ndege ni 350km/saa na ya land cruiser ni km220/Saa, na umbali wa Chato-Dar ni KM 900, je, zitakutana saa ngapi?"
Ah, sasa mi ntajuaje???
Na hizi tochi zote barabarani na matuta na ishu ya kusimama kujisaidia...ntawezaje kujua watakutana saa ngapi.
[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Unajikuta umetoka kwenye pepa umejibu maswali manne tu ya mwanzo kati ya hamsini
nishajibu kitambo hili swali, nimeseama shule ya msingi zilikuwepo, ila hazikuwa compilcated, yalikuwa maswali plain tu, hiyo topic inakuja kujirudia form 3 ambapo ndio kuna maswali kama hayombona unasema hizo hesabu za umbali=mwendokasi x muda hazipo?
Kwa hiyo na ngari itaanzia air port[emoji86] [emoji86]Hapo unafanya x ndio muda gari litakaotumia kukutana
gari litakuwa limesafiri kilomta 220x
ndege itauwa imesafisafiri kilomita 350(x+1), hiyo ni 1 sababu ya ndege iliwahi saa moja kabla ya gari
Kupata x ambayo ndio muda unatakiwa uzi equate hizo mbili, kwa kuwa jumla ya km ni 900, kilomita ilizosafiri gari lilipokutana na ndege itakuwa ni sawa na 900 utoe km ilizosafiri ndege
220x= 900-350(x+1)
Ukikokotoa utapata x ni 30/19 ya saa
ukitaka kuhakiki unatafuta kilomita ilizosafiri ndege baada ya 30/19 ya lisaa kisha unatafuta na km ilizosafiri gari baada ya 30/19 ya saa, hizo km za gari na ndege ukizijumlisha lazima zilete jibu la 900 kwa kuwa km zote zilikuwa covered.
Darasa la saba kulikuwa hakuna maswali magumu kama hayo, huo ni ukilaza wako unashindwa kutofautisha hata maswali ya la saba na sekondari
Uache ulofa basi, hicho kijiswali kiko kwenye milinganyo ya mwendo kasi.sijafanya hesabu za multiple choice na hata ningefanya bado maswali ya miaka ya nyuma ipo kwenye vitabu vya necta vilivyokuwa vinatoka, hivyo haijalishi mtu kujua maswali ya la saba miaka hata ya 70s achilia mbali hiyo 90s yako yalikuaje,
na narudia tena kama unaamini hilo swali ni la darasa la saba wewe ni kilaza wa hesabu, hilo swali najua solution yake na mtoto wa la saba hawezi kupewa swali kama hilo
Hivi mtu anayefanya solution ya umri wa tabu anafanyeje??wewe ni kilaza wa hesabu, kwa mtu anayejua solution ya hilo swali anajua kabisa hilo sio swali la shule ya msingi, ulikuwa huelewi hata maswali ya maelezo inaonekana
Wewe umekomaa na ka solution kakoonimemuelewa ila hilo swali la fumbo sio la darasa la saba, ni la sekondari, nasema hivyo sababu najua solution yake na sio ya la saba
toa mbadala,Wewe umekomaa na ka solution kakoo
Hujui hata maana ya hesabu embu tukalie kimya bhana[emoji35] [emoji35]
Iyo Rutihinda Nilikuwa Naiogopa Sana-MAARIFA
-LUGHA
-HESABU.
Kwa Dar-Es-Salaam ,Enzi Zetu Shule zilizokuwa Zinaongoza kwa Kufaulisha ilikuwa MUUNGANO-TEMEKE na RUTIHINDA zilikuwa noma watu walikuwa wanapiga 150 MUBASHARA.
Adeki nakumbuka nilipata mjukuu ana umri 20 zaidi ya babu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Dah haya mambo yalikuwa mazito, sasa usiombe kukutana na swali la umri, yaani ukisolve vibaya unaweza jikuta mjukuu ana miaka mingi kuliko bibi!
Hilo kwa darasa la saba au shule ya msingi ni milinfanyo.Naomba niingilie huu ubishi mkuu chinchilla coat na wadau wengine, hili ni swali la topic gani kwa anayesema ni la darasa la saba, na kwa anayesema ni la form 3.
Kwa advance pia iko kwenye physics na kwenye topic ya mechanics kipengele cha laws of motionNaomba niingilie huu ubishi mkuu chinchilla coat na wadau wengine, hili ni swali la topic gani kwa anayesema ni la darasa la saba, na kwa anayesema ni la form 3.