Nakumbuka Mitihani yetu ya Darasa la Saba ilikuwa inaanza ivi

hatari kweli nabaadae walikuja kubadili ikawa ni matple choise...unaangalia zako juu unachoma kwenye karatasi kalam iki gota kwenye B ndilo jibu
 
nimemuelewa ila hilo swali la fumbo sio la darasa la saba, ni la sekondari, nasema hivyo sababu najua solution yake na sio ya la saba
i see ww umemaliza juzi la saba hilo swali la mafumbo ya mdau lilikuwepo sana tulikuwa tunaziita hesabu za umbali=mwendokasi x muda
 
i see ww umemaliza juzi la saba hilo swali la mafumbo ya mdau lilikuwepo sana tulikuwa tunaziita hesabu za umbali=mwendokasi x muda
Nimemaliza kitambo sana, na nilishawahi kufundisha hesabu sekondari, ndio maana najua maswali yake yapoje
 
-MAARIFA
-LUGHA
-HESABU.

Kwa Dar-Es-Salaam ,Enzi Zetu Shule zilizokuwa Zinaongoza kwa Kufaulisha ilikuwa MUUNGANO-TEMEKE na RUTIHINDA zilikuwa noma watu walikuwa wanapiga 150 MUBASHARA.
 
-MAARIFA
-LUGHA
-HESABU.

Kwa Dar-Es-Salaam ,Enzi Zetu Shule zilizokuwa Zinaongoza kwa Kufaulisha ilikuwa MUUNGANO-TEMEKE na RUTIHINDA zilikuwa noma watu walikuwa wanapiga 150 MUBASHARA.
Kumbe umemaliza darasa la saba majuzijuzi,kipindi hicho Rutihinda haikuwepo,shule zilizokuwa noma kwa kufaulisha zilikuwa ni:- Madenge,Muungano zote Temeke, Ubungo NHC,Mlimami,Mapambano,mashujaa zote Kinondoni,kwa Ilala hawakuwa na shule tishio half hivyo vichwa tukawa tunakutana Azania na Tambaza,moto wake ulikuwa si wa kawaida...!!!
 
Haaaaaaa Nimemaliza la 7 mwaka 1989....Haaa hizo Shule zilikuwa Balaaa umenikumbusha mapambano,mlimani.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Alieniacha hoi ni mwl wangu eti kuanzua la 1 mpaka la 25 hamna kukosaa
Hafu enzi hizo kama unalumbuka idadi ya mboko ni huruma ya mwl.
Ukikosa moja mboko moja

Mwenzangu nikakosa arobaini[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]

Kilichonikuta nikaambiwa ntachapwa paredi
 
mbona unasema hizo hesabu za umbali=mwendokasi x muda hazipo?
nishajibu kitambo hili swali, nimeseama shule ya msingi zilikuwepo, ila hazikuwa compilcated, yalikuwa maswali plain tu, hiyo topic inakuja kujirudia form 3 ambapo ndio kuna maswali kama hayo
 
Kwa hiyo na ngari itaanzia air port[emoji86] [emoji86]
 
Uache ulofa basi, hicho kijiswali kiko kwenye milinganyo ya mwendo kasi.

Na huamini hilo tafuta kitabu kimoja kimeandikwa hivi

"" jiandae vema kumsliza elimu ya msingi""
Au tafuta kitabu kinaitwaga Faulu mtihani wa darasa la saba

Au

Angalia kitabu
"" jipime katika hisabati""
Toleo la kwanza kabisaaaaaa,,, mtihani kama wa arobaini na tano kama dijasahau
Nadhani jirani yake ndio kuna swali moja hivi la umri
Tena wanauzungumzia umri wa tabu...

Kama sijui kama bado vitabu kitabu kimoja hivi kimeandikwa
"" msingi bora wa hesabu darsa la saba" nadhani ilikua hata kabla ya hisabati
 
wewe ni kilaza wa hesabu, kwa mtu anayejua solution ya hilo swali anajua kabisa hilo sio swali la shule ya msingi, ulikuwa huelewi hata maswali ya maelezo inaonekana
Hivi mtu anayefanya solution ya umri wa tabu anafanyeje??

Wacha kukalili. Na kwa taarifa yako hayo maswali sekondari yako kwenye fizikia buana
 
nimemuelewa ila hilo swali la fumbo sio la darasa la saba, ni la sekondari, nasema hivyo sababu najua solution yake na sio ya la saba
Wewe umekomaa na ka solution kakoo
Hujui hata maana ya hesabu embu tukalie kimya bhana[emoji35] [emoji35]
 
-MAARIFA
-LUGHA
-HESABU.

Kwa Dar-Es-Salaam ,Enzi Zetu Shule zilizokuwa Zinaongoza kwa Kufaulisha ilikuwa MUUNGANO-TEMEKE na RUTIHINDA zilikuwa noma watu walikuwa wanapiga 150 MUBASHARA.
Iyo Rutihinda Nilikuwa Naiogopa Sana

Mbaya zaid Walimu wetu walikuwa wanapenda kwenda kutushindanisha
 
Dah haya mambo yalikuwa mazito, sasa usiombe kukutana na swali la umri, yaani ukisolve vibaya unaweza jikuta mjukuu ana miaka mingi kuliko bibi!
Adeki nakumbuka nilipata mjukuu ana umri 20 zaidi ya babu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]


Hapo kama ilivokua nilipiga jaramba kutafuta umri wa babu mpaka njaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Naomba niingilie huu ubishi mkuu chinchilla coat na wadau wengine, hili ni swali la topic gani kwa anayesema ni la darasa la saba, na kwa anayesema ni la form 3.
Hilo kwa darasa la saba au shule ya msingi ni milinfanyo.
Kwa shule ya sekondari iko kwenye fizikia topic ya motion in a streight line na kidato cha tatu kwa mbaali hua linagusiwa kwenye the earth as a sphere
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…