Nakumbuka wakati wimbo wa ZEZE unatoka mambo yalikuwa hivi....

9+mkuu wa mkoa alikuwa makamba@deceiver
 
11+raisi alikuwa ni Mkapa

12+ buku unakunywa bia tatu na chenji inabaki

mnofu
 
13+aisha madindana waziri sonyo walikuwa kwenye chati DVJ masmiletz
 
Mkuu ilikuwaje jamaa mpaka kapewa kipigo au alichukua demu wa mtu
Na Jana amepewa kipigo cha mbwa koko, hakika maisha yapo resi sana

Yaani jamaa kamfua kama hamjui vile
 
Enzi hizo boys walikua wanatongoza kwa barua bado...! au kadi za mapenzi...hehhee nilikua na kadi km 100 hv..lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…