Nakuomba tuliza kabisa Akili yako kisha tumia D mbili kama ulisoma Cuba au Israeli kama Mimi kisha sema hapa Waziri Gwajima kamaanisha nini hasa?

Nakuomba tuliza kabisa Akili yako kisha tumia D mbili kama ulisoma Cuba au Israeli kama Mimi kisha sema hapa Waziri Gwajima kamaanisha nini hasa?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Kokote alipo Laazizi wangu Advocate Gwajima
anisikie yeye ndiyo injinia wangu na saa kumi na mbili asubuhi kashanipigia simu na tumezungumza yanayotuhusu na ratiba zake nazijua na yeye zangu anazijua na najua watoto wangu wapo wapi.

Mume wangu kaona vipaji vyangu na mimi nimeona vyake tukashirikiana na kusaidiana, sina haja ya kuringa sababu mimi Waziri na yeye sio waziri.

Nikiwa nyumbani mimi ni Mama Vicky na navaa kitenge changu" Mhe. Dkt Dorothy Gwajima ni waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum.

Chanzo: JamiiForums

Kila nikirudia kusoma hiki alichokiandika hapa kuna mambo kama Matatu Matano hivi ninayaona. Mumewe aringe tu!!!
 
"Kokote alipo Laazizi wangu Advocate Gwajima
anisikie yeye ndiyo injinia wangu na saa kumi na mbili asubuhi kashanipigia simu na tumezungumza yanayotuhusu na ratiba zake nazijua na yeye zangu anazijua na najua watoto wangu wapo wapi.

Mume wangu kaona vipaji vyangu na mimi nimeona vyake tukashirikiana na kusaidiana, sina haja ya kuringa sababu mimi Waziri na yeye sio waziri.

Nikiwa nyumbani mimi ni Mama Vicky na navaa kitenge changu" Mhe. Dkt Dorothy Gwajima ni waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum.

Chanzo: JamiiForums

Kila nikirudia kusoma hiki alichokiandika hapa kuna mambo kama Matatu Matano hivi ninayaona. Mumewe aringe tu!!!
Kuna mwenzake leo kwenye mwendokasi toka kimara kwenda Morocco,kakasirikiana na kijana wa kiume hadi kuanza kupigana.Jamaa mmoja akaenda kuamulia yule dada si akampiga kibao jamaa,jamaa amemtandika mpaka kamtoa manundu.Yule dada hata wanawake wenzake wamemuona jau,wakampongeza jamaa aliyegeuka Yombayomba na kumtoa manundu.Wanawake watched kutunisha maziwa yao na kujifanya wababe.Wanaume sasa hivi hawasaidii kisa eti mwanamke ,ukizingua wanakuzingua.Mh waziri anawaonesha wanawake kuwa mke atabaki mke tu.
 
Back
Top Bottom