Uchaguzi 2020 Nakuonya Tundu Lissu kuelekea uchaguzi mkuu 2020

Uchaguzi 2020 Nakuonya Tundu Lissu kuelekea uchaguzi mkuu 2020

Kwenye miradi yote mikubwa kuanzia ununuzi wa Ndege wanaccm wamefanya ufisadi wa kutisha mno kila kona kuna 10% zao wanaccm ni wanufaika wa kila miradi mikubwa Tanzania
Ndiyo maana wanasifia sifia tu Kaka mazuzu
 
Maendeleo siyo Hisani za CCM, maendeleo siyo pesa binafsi toka mfukoni mwa mtukufu, maendeleo ni pesa za walipa kodi ambao wengi ni wapinzani na watanzania wengine wasio na vya vyama
Iko sawa mkuu unajua shida ya mtoto mshamba ndiyo hiyo
 
Kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzani ndiyo kuleta vurugu, CCM inawanyanyasa wapinzani ikizani watavumilia milele, hakuna mabaya yasiyo na mwisho.
Msaliti ameshawaambia akikosa urais atawaamrisha muingie barabarani karibuni mgongwe na magari mchana kweupeee!!
 
Katika kuelekea uchaguzi mkuu mwaka huu imekuwa kama desturi kwa maadhi ya vyama vya siasa kikiwemo CHADEMA kuendeleza siasa zenye mrengo wa vurungu na uvunjifu wa amani. Ni muhimu sana kama taifa kukumbushana baadhi ya vitu tunapoelekea katika uchaguzi huu maana mchakato upo mwanzoni lakini tunashuhudia vitendo vinaratibiwa vya uvunjifu wa amani na baadhi ya viongozi tukinukuu maneno ya Tundu Lisu akiongea nyakati tofauti wakati anazunguka kutafuta wadhamini kuwa hatakubari kushindwa, hapa tunapata tafsiri ya kuwa amejianda katika kuleta vurugu maana tunavyojua siasa ni ushindani wa hoja na si kushindana kwa kupigana.

lakini hatuwezi kumshanga Tundu Lisu kwa sababu kubwa moja uchaguzi wa mwaka huu utakuwa mwepesi sana kwa Chama cha Mapinduzi sababu katika kipindi cha miaka mitano wameweza kutekeleza Ilani yao kwa asilimia 100 chini ya uongozi hodari na thabiti wa Mh. Rais John Pombe Magufuli kwa kuweza kusimamia kwa vitendo utekelezaji wake wa Ilani hiyo.

Nakuonya Tundu Lissu usije ukajaribu wala kurogwa kuliingiza taifa hili katika machafuko kwa malengo yako binafsi na watu wanaokutuma yaani Mabeberu ndio maana nimeamua kukuonya kwanza ili watanzania watakapo kuja kukuonya katika sanduku la kura usije ukaona umeonewa na ukaanzisha vurugu na vikundi vyako vilivyopo ndani ya chadema.

Nakuonya Tundu Lissu uchaguzi wa mwaka huu nikuhakikishie Ajenda ya Watanzania wanachagua maendeleo na si kelele unazopiga katika majukwaa ni bora ushauri wapi kunatakiwa kuboreshwa na si kujenga hoja za kuligawa taifa letu.

Nakuonya Tundu Lissu nibora ujiengue katika hiki kinyanganyiro maana unakwenda kupata aibu na kukifanya CHADEMA kuwa chama cha tatu au cha nne katika upinzani hivyo basi ni bora ukae pembeni au uungane na jeshi la Magufuli katika kufanya siasa za maendeleo anazozifanya MAGUFULI

Nakuonya Tundu Lissu kuwa muangalifu na chukua tahadhali kubwa katika kipindi hiki kama mgombea wa CHADEMA maana utapokea maelekezo mbali mbali kutoka kwa viongozi wenzio ndani ya CHADEMA kwa mazumuni ya kuleta vurugu katika nchi usije ukakubali kuwa katika mpango mkakati huo.

Mwisho nakuonya Tundu Lissu tumia muda huu kupumzika maana naamini kinga za mwili wako bado hazipo sawa kufanya wewe uwezi kufanya kampeni tena za kuzunguka nchi nzima hivyo jali kwanza afya yako maana afya ni bora kuliko hiko unachokipigania
Uzi umekamilika??
 
2020 inakuja kivingine ya Malawi yanaenda kutokea Tanzania
Wamalawi wenyewe waliogopa kupigana na WaTanzanzania hayo ya kwao yanawezaje kuja huku??? Kila baba na uwezo wa nyumba yake
 
Katika kuelekea uchaguzi mkuu mwaka huu imekuwa kama desturi kwa maadhi ya vyama vya siasa kikiwemo CHADEMA kuendeleza siasa zenye mrengo wa vurungu na uvunjifu wa amani. Ni muhimu sana kama taifa kukumbushana baadhi ya vitu tunapoelekea katika uchaguzi huu maana mchakato upo mwanzoni lakini tunashuhudia vitendo vinaratibiwa vya uvunjifu wa amani na baadhi ya viongozi tukinukuu maneno ya Tundu Lisu akiongea nyakati tofauti wakati anazunguka kutafuta wadhamini kuwa hatakubari kushindwa, hapa tunapata tafsiri ya kuwa amejianda katika kuleta vurugu maana tunavyojua siasa ni ushindani wa hoja na si kushindana kwa kupigana.

lakini hatuwezi kumshanga Tundu Lisu kwa sababu kubwa moja uchaguzi wa mwaka huu utakuwa mwepesi sana kwa Chama cha Mapinduzi sababu katika kipindi cha miaka mitano wameweza kutekeleza Ilani yao kwa asilimia 100 chini ya uongozi hodari na thabiti wa Mh. Rais John Pombe Magufuli kwa kuweza kusimamia kwa vitendo utekelezaji wake wa Ilani hiyo.

Nakuonya Tundu Lissu usije ukajaribu wala kurogwa kuliingiza taifa hili katika machafuko kwa malengo yako binafsi na watu wanaokutuma yaani Mabeberu ndio maana nimeamua kukuonya kwanza ili watanzania watakapo kuja kukuonya katika sanduku la kura usije ukaona umeonewa na ukaanzisha vurugu na vikundi vyako vilivyopo ndani ya chadema.

Nakuonya Tundu Lissu uchaguzi wa mwaka huu nikuhakikishie Ajenda ya Watanzania wanachagua maendeleo na si kelele unazopiga katika majukwaa ni bora ushauri wapi kunatakiwa kuboreshwa na si kujenga hoja za kuligawa taifa letu.

Nakuonya Tundu Lissu nibora ujiengue katika hiki kinyanganyiro maana unakwenda kupata aibu na kukifanya CHADEMA kuwa chama cha tatu au cha nne katika upinzani hivyo basi ni bora ukae pembeni au uungane na jeshi la Magufuli katika kufanya siasa za maendeleo anazozifanya MAGUFULI

Nakuonya Tundu Lissu kuwa muangalifu na chukua tahadhali kubwa katika kipindi hiki kama mgombea wa CHADEMA maana utapokea maelekezo mbali mbali kutoka kwa viongozi wenzio ndani ya CHADEMA kwa mazumuni ya kuleta vurugu katika nchi usije ukakubali kuwa katika mpango mkakati huo.

Mwisho nakuonya Tundu Lissu tumia muda huu kupumzika maana naamini kinga za mwili wako bado hazipo sawa kufanya wewe uwezi kufanya kampeni tena za kuzunguka nchi nzima hivyo jali kwanza afya yako maana afya ni bora kuliko hiko unachokipigania

Mbona sijawahi kusikia kuonywa kwa Magufuli!! yeye ni Mungu?
 
Kwani shida nini? Kama ni maendeleo si tunayaona...acha uoga kila kitu kitaamuliwa na muda....kama ni muda wa machafuko tz ww huwezi kuzuia....so acha mambo yaende na majira yake
 
Tundu Lisu ametumwa na mabeberu na M.Seif ametumwa na waarabu. Hoja hizi zinatolewa na watu wazima wenye akili timamu au ?
 
Tundu Lisu ametumwa na mabeberu na M.Seif ametumwa na waarabu. Hoja hizi zinatolewa na watu wazima wenye akili timamu au ?
Ndio mjue wananchi wanajua kila kitu mnachofanya..huko kwa mabwana zenuu...unanisoma sijui...Tanzania na watanzania walipofika hawapo tayari kurudi nyuma..
 
Ndio mjue wananchi wanajua kila kitu mnachofanya..huko kwa mabwana zenuu...unanisoma sijui...Tanzania na watanzania walipofika hawapo tayari kurudi nyuma..
Nyuma ? Matusi hayo kaka. Hakuna anaependa nyuma huku wala hakuna bwana. Nadhani wazanzibari wanataka mabadiliko na wala hakuna msukumo wa kutoka nje ya visiwa acheni propaganda chafu.

Waoman wale ni ndugu zetu sio udugu wa damu tuu pia ni waislamu wale. Au hujuwi kama waislamu wote ni ndugu ? Tanganyika pia ni ndugu zetu, wakenya, wahindi, wayemen n.k. Zanzibar ni kisiwa kaka kuna watu wa kila aina, ukija na visiasa vyako uchwara vya kukopi paste kama babu yako Nyerere ndio ubakie kutumia nguvu tuu lakini sio kukubalika kwa wananchi.
 
Ila nashangaaga Sana chadema ni kwa Nini zile drama wanazo fanyaga kina zitto,lema na sugu za kujijengea mikakati ya kujikamatisha,kuchoma ofc zao na kuvamia misafara yao hawazioni
Bangi zingine!!
 

1602620678621.png


Wazee wa kukinga bakuli ..... ...
 
Back
Top Bottom