Sasa nitamnunulia nani?? 😹Mwanangu una nongwa kichizi yani 😂
Shemeji msomaliSasa nitamnunulia nani?? 😹
We subiri apatikane mvaaji ntakuungisha..
Weeh nnavyowaogopa wale viumbe na huu mdomo wangu si atajifunga mabomu aripuke na mimi 😹😹😹Shemeji msomali
Usifike huko nongwa.
Watu kila sku wanaulizia bei hawanunui 😟Usifike huko nongwa.
Na wavaa kobaz atukumbukeNongwa!! vipi mizigo ya sebago?