Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
- Thread starter
- #101
Za kike bei 35000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata za hapo juu ni fake zote. Bei ya origibal ni 2million plusMtaani kwetu unapata kwa 20k hiyo raba.
Shem naomba Vans 😜Vunja bei.
Namba 41-45
Rejareja 20,000
Jumla elf 15 kuanzia 5
Mwisho kesho
View attachment 3133996View attachment 3133997View attachment 3133998View attachment 3133999
Mbona zina namba ndogondogo tu?Wanaozivaa hawana vidole vya miguuni?Kuna namba 46 kwenda mbele?wazee sina hiyana
Nashukuru kwa mirejesho n kukuwa kwa network. Siwez kuwaacha nyuma hata kidogo... Tuko pamoja
Raba hii hapo chini bei ya jumla ni elf 40 zinakaa pea 24, ukitaka kuanzia tano ni elf 48 na moja ni 55 tu.
Bei ya chimboView attachment 3130917View attachment 3130917View attachment 3130918View attachment 3130920View attachment 3130920.... ningelitaja hapa ila naona nitaharibu biashara za watu
Karibu tujadili
Zipo namba kubwa nazoMbona zina namba ndogondogo tu?Wanaozivaa hawana vidole vya miguuni?Kuna namba 46 kwenda mbele?
Mbuzi atanivisha vingi.Utamvaa mbuzi miguuni?.Kupanga ni kuchagua.Bei rafiki sana hizo.
Ni mtazamo wako, sikatai maana Mtu hunena yaujazao moyo wake.Huyu hata mbuzi mwemyew anafuga sasa. Hiyo 40 anamtafuta rosemary anamtoa out anakuja kujutia siku ya pili asubuhi
Nitoe kwa waliokataa, hata kwa walioikubali sikumbuki kama nlikwepoMshaanza tena wazee? Mbona ile ya mwanzo mliikataa kisa bei ndogo? Mna nongwa sana wazee
Nzuri hiyo shem unauzaje?? 😍😍
Hiyo kwa wewe lamomy ni laki 2Nzuri hiyo shem unauzaje?? 😍😍
Sawa kiatu nishapata bado wa kumpa, nikimpata nitakushtua shem 😹😹😹Hiyo kwa wewe lamomy ni laki 2
Aimarx ukalimie mkuu?Raba mimi ni kiatu cha kulimia shambani. Sivaagi raba.
Mwanangu una nongwa kichizi yani 😂Sawa kiatu nishapata bado wa kumpa, nikimpata nitakushtua shem 😹😹😹
Hata brand za raba sizijuagi ila laba hata iwe ipi, sivai nje ya shamba, hata hizo ulizoziweka hapo 😂Aimarx ukalimie mkuu?