Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
- Thread starter
- #61
Mshaanza tena wazee? Mbona ile ya mwanzo mliikataa kisa bei ndogo? Mna nongwa sana wazeeDuhh Bei ya mbuzi mkubwa kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshaanza tena wazee? Mbona ile ya mwanzo mliikataa kisa bei ndogo? Mna nongwa sana wazeeDuhh Bei ya mbuzi mkubwa kabisa
Suri nzuri ya kushona mkuu, tafuta fundi makini kacheki kitambaa khimji pale posta au una haraka nay0?Suti nzuri ya MTU mwenye urefu wa 5:8 na mwenye umbo Kama la Hanscana director je hiyo suti Kwa bei yako ya chimbo inasimama ngapi?
Powh AsanteSuri nzuri ya kushona mkuu, tafuta fundi makini kacheki kitambaa khimji pale posta au una haraka nay0?View attachment 3131008View attachment 3131008
WelcomePowh Asante
Safety boot 🥾 🥾 unyama sana Wala hata hatujali. Labda pia sio mbaya tunazo tunaishi nazoAmerican buti sio? Au nyie ndo mnovaa safety boot mtaan?
Inshu ya og au sio og ndio Hadi uende inbox?Nakuja inbox mkuu.. worry out
Nikifungua in box inakataa kamanda sijui tatizo nini nipe namba ya simu whatsap chapPochi... tutakuwa pamoja very soon bos. Mana kuna mradi wa pochi tutaufungua pale kawe ukwamani. Nitakuwpo pale frem za lugalo.. although lwa sasa nakurecomend ukachukue kwa Ndakilawe mwamba a
Leo umejitahidi mkuu
Utamvaa mbuzi miguuni?.Kupanga ni kuchagua.Bei rafiki sana hizo.Duhh Bei ya mbuzi mkubwa kabisa
Welc
Welcome
Ushauri : suti za kushona mkuu ndo kali ila kama unataka special nikuunganishe na duka la masai pale mchikichi ana bei nzuri tu
Upo mkoa gani?Kama ni Arusha nikuelekeze kwa fundi wa suti hutajuta.Suti za high class.OK -ngoja nijaribu za kushona then ntarudi katika huu uzi
Nipo DSMUpo mkoa gani?Kama ni Arusha nikuelekeze kwa fundi wa suti hutajuta.Suti za high class.
Bad luck.Nipo DSM
Thank you.Bad luck.
Kula buku 8wazee sina hiyana
Nashukuru kwa mirejesho n kukuwa kwa network. Siwez kuwaacha nyuma hata kidogo... Tuko pamoja
Raba hii hapo chini bei ya jumla ni elf 40 zinakaa pea 24, ukitaka kuanzia tano ni elf 48 na moja ni 55 tu.
Bei ya chimboView attachment 3130917View attachment 3130917View attachment 3130918View attachment 3130920View attachment 3130920.... ningelitaja hapa ila naona nitaharibu biashara za watu
Karibu tujadili
0628731833Nikifungua in box inakataa kamanda sijui tatizo nini nipe namba ya simu whatsap chap
Hahaha au sio? Safety buti za waruga ruga. Mda wote kama yuko gereji tuSa
Safety boot 🥾 🥾 unyama sana Wala hata hatujali. Labda pia sio mbaya tunazo tunaishi nazo
Original RastaInshu ya og au sio og ndio Hadi uende inbox?
Utamvaa mbuzi miguuni?.Kupanga ni kuchagua.Bei rafiki sana hizo.