Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
- Thread starter
- #81
Buku nane hiyo ongezea elfu nne agiza bapa la nyagi
Kula buku 8
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kula buku 8
Za kike zipo?Original Rasta
Zisizo na colar ni sh ngapi boss...?Hiyo inauzwa plain 24.. tisheti nzuri sana hiyo. Kwa kuwaprintia ma-Ceo inafaa sana. Wauzaji wanaitwa dar city printing
Zisizo na colar ni sh ngapi boss...?
Kuvaa safety boot mtaani bongo hii ni sawa kabisa, na hata ukivaa helmet kichwani pia sawa tu, nchi hii usalama ni wewe mwenyewe, fashio nchi wapi.American buti sio? Au nyie ndo mnovaa safety boot mtaan?
Na wewe umetishika?Kuvaa safety boot mtaani bongo hii ni sawa kabisa, na hata ukivaa helmet kichwani pia sawa tu, nchi hii usalama ni wewe mwenyewe, fashio nchi wapi.
Fanya biashara lakini usitishe watu.
Mkuu nimechelewa kukufahamu, binti ameshaenda shuleni. Utanitafutia size 43 ya kike December akirudi
Sawa mkuu kama nitakuwepo mana mm ni mzanzibara. Sometimes narudi unguja kupamban na maisha mengineMkuu nimechelewa kukufahamu, binti ameshaenda shuleni. Utanitafutia size 43 ya kike December akirudi
Inategemea mkuu na mwonekano wake ma vampire ndo tunazuga nazo kuisha mkataba root za kijijn kwenda mashambani huniamini kitu😹Hahaha au sio? Safety buti za waruga ruga. Mda wote kama yuko gereji tu
Steshenari wasiliana na Mwangaza 0768 563 920Chimbo la stationery has ream paper ndugu
Hii napata size 2xl?baba morgan huwezi kujutia kuijua hii brandView attachment 3130953View attachment 3130954View attachment 3130955
Why not? Unapata bos... tishet kali sana hiiHii napata size 2xl?