Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shangazi hiyo avatar bana😂Ni mimi hapa hiyo ni ID yangu nyengine
Ina nini?Shangazi hiyo avatar bana[emoji23]
Mnhhhhh again, Mods futa huu upotolo.....hata wewe ukitaka kudhalilishwa nitawaambia mods wafute,ni responsibility ya kila mwanajeiefu..kulinda wengine, as for mods, ni kweli ukiwaambia wafute wanaangalia contents kama zimelenga kumu harass mtu wanazifuta,na wao ni binadamu therefore inapaswa kuwakumbusha, mwisho unaweza kuniweka kwenye ignore list, kama hufagilii ninachoandika.bye.
[emoji41][emoji41][emoji41]Shangazi hiyo avatar bana[emoji23]
Imekupendeza.Ina nini?
AhsanteImekupendeza.
Mwenzio kadondokewa wewe unasema kadhalilishwa, acha wivu nawe kakanyage mafuta huko!
HhhhhhhhMwenzio kadondokewa wewe unasema kadhalilishwa, acha wivu nawe kakanyage mafuta huko!
Habari yako mwanasaikolojia. Pole na majukumu ya idara yako ya saikolojia. Natumai upo vizuri kabisa kisaikolojia. Huna tatizo lolote?imsitujazie server,Mods futa huu upotolo..umelenga kumdhalilisha member (Character assasination),hapa unajuaje huyo kritika ameamua kuvaa tu uhusia na labda ni mke wa mtu mwenye watoto???....
😂😂😂😂😂😂😂shambulio la aibu
Becky hujambo? Sijakuona muda sana, upo mama!Twende tukakanyage wote mafuta
Becky hujambo? Sijakuona muda sana, upo mama!
. Naomba nisikukere wewe 2 wao wakeraneWanaume...Muwe mnajiheshimu..mnakela Sana kritika..
. Eeheee Sasa Mimi hapa sijaoaHadi wewe umeoa??? kweli wanawake tuna huruma sanaa
Wewe ulitakiwa uwe chaputa hadi mwisho wa maisha yako