Sweet16
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 5,314
- 9,215
Sijatamba, rambirambi inategemea kwa nan, jamii inayonizunguka siezi kosa kujitoa, mama angu haezi lala mbavu mbwa akati Mungu bado ananipa uhai walinilea na kunisomesha kwa kujibana lazima wafurahie uwepo wangu hata kama tulizaliwa 10 ktk familia.....kwa mwanaume anayetambua nafasi yake na kipato chake sio kile kukicha afadhali ya jana iyo laki 3 sio kitu hata kwa aliyeoa laki3 kitu kidogo sanaAcha tambo wewe, ikipitishwa rambi rambi tu humu hamkawilii kukimbia uzi 😅😅😅!!! Af leo hii eti unavimbia kabisa laki 3 hela ndogo tu kmmmk walai 😅