Nakupenda sana baby ila kila mwezi utanipa laki tatu (3)

Nakupenda sana baby ila kila mwezi utanipa laki tatu (3)

Siyo tu umempangia.

Umempangia na kumnyanyapaa wavulana hivi vile.

Kama vile ametoa mada ambayo hakustahili kutoa.

Umeandika kama "what's the big deal". Umefanya mada yake kama si muhimu. Kama analialia.

Wakati huna haki hiyo ya kuamua mada ipi ni muhimu na ipi si muhimu. Hujui hali yake kusema analialia au vizinga vimepita uwezo wa kuvumilia.

Siyo tu umempangia cha kupost, umemnyanyapaa pia.
Uko sahihi mkuu
Mfano unakuta mtu hata hiyo laki tatu kuipata kwa mwezi ni mbinde mtu unapambana unajibana unajinyima nk
Kumbuka pia ana ndugu wenye shida za hapa na pale
Halafu mtu anakuja eti mpe hela we mpe hela kwani mahisiano ni kazi? Kama kutombn raha si wanapata wote?? Na kama mtu unaona hiyo hela ni rahisi namna hiyo si akaitafute na yeye

Mambo mengine ni kujiendekeza aisee
 
Ukienda jando utaelewa.
Ndio nakwambia hakuna jando linalo fundisha watu kununua K sijui huko unyagoni kama mnafunzwa kuuza K labda ila jandoni hakuna kitu cha namna hiyo.
 
Acha maneno mengi bwana, we toa pesa bwana!
Kwa mkataba wa laki 3 kwa mwezi!!?

Najua hauko serious sababu naamini wewe huwezi fanya hivo 😂.
 
Ndio nakwambia hakuna jando linalo fundisha watu kununua K sijui huko unyagoni kama mnafunzwa kuuza K labda ila jandoni hakuna kitu cha namna hiyo.
Kwa mkataba wa laki 3 kwa mwezi!!?

Najua hauko serious sababu naamini wewe huwezi fanya hivo [emoji23].
Jando gani kwani mwenzetu unahudhuria unakofundishwa vitu vya ajabu hivyo!! Achana na jando la jf.
 
Jando gani kwani mwenzetu unahudhuria unakofundishwa vitu vya ajabu hivyo!! Achana na jando la jf.
Kwani hapa ulikuwa unataja jando gani mana wewe ndio ulikuja na hayo majando yako kadada au si wewe huyu?
Turudishe jando aisee, hivi vitoto vya kiume vya siku hizi mbea wao, kudanga wao, majungu wao, kulia lia wao!! Sijui hata tunakosea wapi kuvilea[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Mimi nilikujibu ulicho andika hapa.

Okay tuachane na hilo, vipi na wewe huws unapanga mishahara.?
 
Kwani hapa ulikuwa unataja jando gani mana wewe ndio ulikuja na hayo majando yako kadada au si wewe huyu?

Mimi nilikujibu ulicho andika hapa.

Okay tuachane na hilo, vipi na wewe huws unapanga mishahara.?
Sidate mtoto ambae hadi nimpangie, anayajua majukumu yake.
 
Mtafutie kazi za kukusanya parking fee nadhani wanalipwa laki, alafu baada ya hapo futa namba yake.
 
Bora niitwe mvulana na ikibidi mwanaume suruali lakini siwezi kukipa kiumbe cha kike mia tatu
 
Sidate mtoto ambae hadi nimpangie, anayajua majukumu yake.
Okay basi wewe utakuwa huuzi ila huyo mwenzenu yeye yake ina bei na kiwango chake cha chini laki 3.!!

Safi sana usijipimie usije kujipunja mwenyewe kadada.!
 
Zinaa na uasherati ni dhambi ambayo humtafuna Mwanaume mara mbili ndiyo maana imeandikwa hivi:
"mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa, afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake". Mithali 6:32.

Iko hivi, unapojihusisha na zinaa unaingia gharama mara mbili, kwanza, unapoteza pesa bure na pili, unapoteza "nafsi" yako maana kila "nafsi" inayofanya "zinaa" itaangamizwa kwenye moto wa milele.

Hapa mwanaume unakuwa umepata hasara mara mbili. Ndiyo maana Biblia ikasema, "afanyaye zinaa na mwanamke hana akili kabisa".

Mwenye masikio na asikie.
 
Huyo ni malaya anajiuza. Hakuna cha wavulana wala sijui hela ndogo hiyo laki 3!
 
Okay basi wewe utakuwa huuzi ila huyo mwenzenu yeye yake ina bei na kiwango chake cha chini laki 3.!!

Safi sana usijipimie usije kujipunja mwenyewe kadada.!
Hana kazi, akapiga hesabu akaona angalau laki tatu inaweza kumtosha kwa mahitaji yake. Na kumbuka wewe ndio uliyachokonoa yote hayo na ukajibiwa. Sijaona tatizo la binti, tatizo naliona kwako, maana ulikuwa unamchokonoa kwa lengo la kupata mada ya kuanzisha jf.

Kiasili mwanamke ameumbwa kutunzwa, ndio maana unona hata tukiwa na kazi zetu bado tunataka mtuhudumie. Na ikitokea tukahudumia sisi basi tarajia masimango maana sio asili yetu.
 
"Hana kazi akapiga hesabu akaona laki 3 inamtosha"
Aisee !!!
Kwahiyo ieleweke rasmi kuwa mwanamke akikosa kazi basi K ndio iwe ajira yake!!?
Am sorry ila huo ni umalaya/ ukahaba tu.

Naam uko sahihi mwanamke kuhongwa nikawaida sana ila ukisha panga bei maalum tu basi hapo sio kutunzwa tena bali huo ni ukahaba na ndo utadharaulika mazima hata kama mwanaume alikuwa nampango wa kukupa chochote basi ujue ndio imeisha hiyo.

Labda Kama ataona sawa anunue tu kuepusha usumbufu ila akilini kwake atakuweka Kama Malaya muuza K tu basi na si vinginevyo.

Japo muuza k na mnunua k wote ni Malaya .😂
 
Huyu dem napishana nae kila mara hapa mtaani kwetu na kwa kuwa mimi si mtu wa story sana na washikaji hapa kitaa yaani nikitoka nimetoka nikiingia nimeingia hivyo sijazoeleka sana na watu wengi.

Sasa huyu dem kila nikirudi hua namkuta kibarazani kwao (sijui kakariri muda wangu wa kurudi home) yeye ndo huwa wakanza kunisalimu, yeye anaishi nyumba jirani.

Siku moja nikiwa kwa daladala narudi home nikakutana nae kwenye gari tukakaa siti moja, story zikaanzia hapo hadi kubadilishana no za simu.

Baada ya wiki mambo yakawa moto, mitoko ya hapa na pale n.k, hana kazi yoyote yupo yupo tu mtaani na sikutaka kumdadisi sana kujua maisha yake.

Sasa leo tukiwa tunachati kanambia kuwa ananipenda sana muda mrefu alitamani kuwa na mimi.

Nikamuuliza sababu ya kuachana na ex wake (mana alikuwa anamponda sana) akasema wameachana sababu jamaa alikuwa hamjali kwa mahitaji yake yoyote yani kifupi hamthamini.

Nikamuuliza unadhani mimi naweza kukujali na kukupa mahitaji yako yote. Akasema hapana huwezi kuwa na yote ila kwa kiasi fulani nitashukuru.

Nikamuuliza ni kipi hasa unakihitaji akasema anataka apate angalau laki 3 kwa mwezi.

Nikamuuliza kazini kwako unalipwa sh ngapi kwa mwezi hadi udai laki tatu kwa mwanaume?

Bado hajanijibu hadi sasa.

Dada zetu naona sasa mapenzi wameyageuza kuwa ajira wanadai mpaka mishahara sasa!!
kwa hiyo hiyo laki tatu utakuwa wasasambua mbususu mara ngapi kwa mwezi? vipi anaruhusu kusasa mbuliwa ata wakati wa siku zake?
kama yupo tayari kwa hio nipigie pande
 
Unaweza kumpa lakini sio kwa kujiombea tena mwanzoni kabisa.
Kumpa hata million sio tatizo, inategemea uwezo na hadhi, viwango vya mahusiano plus ubora wa binti.

Ubora wa binti ni hekima na busara, hatangulizi pesa mbele, anaonyesha uthamani wako kwake, binti akionyesha kuwa wewe ni bora zaidi kwake utampa hata nyumba.

Lakini binti anayetanguliza maslahi yake binafsi mpe 30,000 apite hivi.

Dunia hii kuna wanawake wenye akili na ndio wanaofaidi nyumba, magari na pesa.
Binti anaipandisha thamani yako balaa.
Kila wakati anataka kuwa nawe, ukipita muda kidogo anakujulia hali, mara hivi mara vile na anaonyesha amezama kwako balaa.

Anajifanya hataki chochote kwako zaidi ya wewe na penzi lako.
Si kuwa hataki pesa zako laah hasha bali amechagua FUNGU JEMA nalo ni kumpata mwenye vyake kwanza na mengine atazidishiwa.

Yaani anakuonyesha amezuzuka nawe kama vile duniani umebaki mwanaume peke yako[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mwanamke wa hivi si tu utampa laki 3 bali utampa maisha yako.
Hii siri nimewaibiwa .
Heaven Sent
Sky Eclat
Joannah
Well put.

Couldn't say it better.
 
Back
Top Bottom