Nakupenda sana baby ila kila mwezi utanipa laki tatu (3)

Nakupenda sana baby ila kila mwezi utanipa laki tatu (3)

Mi nasisitiza tena ...wadada ukiona una shida imekushika na ukamuomba mpenzi wako msaada wa kipesa akakupiga chini, jitafakari tena ...kiufupi hupendwi hata kidogo[emoji848]

Maisha kusaidiana bana, leo kwangu kesho kwako!
Tatizo wadada mnaoomba pesa mda mfupi baada ya kutongozwa, mnafanya hivyo kwa nia ya kutukomoa, na sio kwamba mna shida kweli, ushaona mm kidume nina sura ya sokwe Na sikuvutii kingono ila kwa vile nimekushobokea na nimekutongoza, unaona bora uniakamue hela witnessj
 
Tatizo wadada mnaoomba pesa mda mfupi baada ya kutongozwa, mnafanya hivyo kwa nia ya kutukomoa, na sio kwamba mna shida kweli, ushaona mm kidume nina sura ya sokwe Na sikuvutii kingono ila kwa vile nimekushobokea na nimekutongoza, unaona bora uniakamue hela witnessj
[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]

Ngoja nicheke kwanza, sio kuwa nimefurahi? No

We jamaa njoo na ID yako kongwe tueleweshane, unafikiri mimi sijui we ni nani? Hata kama umebadilisha muandiko! I know who you're [emoji848][emoji849]

Back to topic

Kwanini wewe uhisi utofauti mimi kukuelezea shida yangu? Mimi mfano nimepata tatizo na nimekuelezea vizuri ninahitaji msaada wako kama mpenzi wako, unapiga chini tatizo langu kwa hisia zako fake!

Sasa nisipokulilia wewe nimlilie nani?

Nimekuelewesha sasa!
 
Hamna Cha Leo kwangu kesho kwako ninyi mnapenda kutumia hela zenu wenyewe
Mkuu mi tu hunijui vizuri, but siwezi kuona mwanaume wangu ana shida nikashindwa kumsaidia never ever hata kama sina niko radhi nikakope mahali[emoji848]

Nini maana ya mahusiano sasa? Kama hatusaidiani?
 
Mkuu mi tu hunijui vizuri, but siwezi kuona mwanaume wangu ana shida nikashindwa kumsaidia never ever hata kama sina niko radhi nikakope mahali[emoji848]

Nini maana ya mahusiano sasa? Kama hatusaidiani?
Mkuu Sasa mtu anakupangia hadi muda wa kumpa pesa Kama hapo jamaa kaambiwa kila mwisho wa mwezi huo nao Ni msaada?
 
Huyu dem napishana nae kila mara hapa mtaani kwetu na kwa kuwa mimi si mtu wa story sana na washikaji hapa kitaa yaani nikitoka nimetoka nikiingia nimeingia hivyo sijazoeleka sana na watu wengi.

Sasa huyu dem kila nikirudi hua namkuta kibarazani kwao (sijui kakariri muda wangu wa kurudi home) yeye ndo huwa wakanza kunisalimu, yeye anaishi nyumba jirani.

Siku moja nikiwa kwa daladala narudi home nikakutana nae kwenye gari tukakaa siti moja, story zikaanzia hapo hadi kubadilishana no za simu.

Baada ya wiki mambo yakawa moto, mitoko ya hapa na pale n.k, hana kazi yoyote yupo yupo tu mtaani na sikutaka kumdadisi sana kujua maisha yake.

Sasa leo tukiwa tunachati kanambia kuwa ananipenda sana muda mrefu alitamani kuwa na mimi.

Nikamuuliza sababu ya kuachana na ex wake (mana alikuwa anamponda sana) akasema wameachana sababu jamaa alikuwa hamjali kwa mahitaji yake yoyote yani kifupi hamthamini.

Nikamuuliza unadhani mimi naweza kukujali na kukupa mahitaji yako yote. Akasema hapana huwezi kuwa na yote ila kwa kiasi fulani nitashukuru.

Nikamuuliza ni kipi hasa unakihitaji akasema anataka apate angalau laki 3 kwa mwezi.

Nikamuuliza kazini kwako unalipwa sh ngapi kwa mwezi hadi udai laki tatu kwa mwanaume?

Bado hajanijibu hadi sasa.

Dada zetu naona sasa mapenzi wameyageuza kuwa ajira wanadai mpaka mishahara sasa!!
Mwambie utampa kwani una miradi mingi ambayo pia mkikutana mtajadili namna ya kuisimamia.Ukimtafuna block na namba yake.Kumbuka kuvaa kondom zile bora na sio bora kondom
 
Huyu dem napishana nae kila mara hapa mtaani kwetu na kwa kuwa mimi si mtu wa story sana na washikaji hapa kitaa yaani nikitoka nimetoka nikiingia nimeingia hivyo sijazoeleka sana na watu wengi.

Sasa huyu dem kila nikirudi hua namkuta kibarazani kwao (sijui kakariri muda wangu wa kurudi home) yeye ndo huwa wakanza kunisalimu, yeye anaishi nyumba jirani.

Siku moja nikiwa kwa daladala narudi home nikakutana nae kwenye gari tukakaa siti moja, story zikaanzia hapo hadi kubadilishana no za simu.

Baada ya wiki mambo yakawa moto, mitoko ya hapa na pale n.k, hana kazi yoyote yupo yupo tu mtaani na sikutaka kumdadisi sana kujua maisha yake.

Sasa leo tukiwa tunachati kanambia kuwa ananipenda sana muda mrefu alitamani kuwa na mimi.

Nikamuuliza sababu ya kuachana na ex wake (mana alikuwa anamponda sana) akasema wameachana sababu jamaa alikuwa hamjali kwa mahitaji yake yoyote yani kifupi hamthamini.

Nikamuuliza unadhani mimi naweza kukujali na kukupa mahitaji yako yote. Akasema hapana huwezi kuwa na yote ila kwa kiasi fulani nitashukuru.

Nikamuuliza ni kipi hasa unakihitaji akasema anataka apate angalau laki 3 kwa mwezi.

Nikamuuliza kazini kwako unalipwa sh ngapi kwa mwezi hadi udai laki tatu kwa mwanaume?

Bado hajanijibu hadi sasa.

Dada zetu naona sasa mapenzi wameyageuza kuwa ajira wanadai mpaka mishahara sasa!!
Mwambie utampa kwani una miradi mingi ambayo pia mkikutana mtajadili namna ya kuisimamia.Ukimtafuna block na namba yake.Kumbuka kuvaa kondom zile bora na sio bora kondom
 
Mi nasisitiza tena ...wadada ukiona una shida imekushika na ukamuomba mpenzi wako msaada wa kipesa akakupiga chini, jitafakari tena ...kiufupi hupendwi hata kidogo[emoji848]

Maisha kusaidiana bana, leo kwangu kesho kwako!
Kusaidiana kwa kupangiana mishahara kabisa, inamaana ikifika mwisho wa mwezi utoe hela au uandae maelezo kwanini mshahara umekosekana au umechelewa mwezi huo.

Hapo kuna mapenzi kweli hapo !!?

Hii kauli ya kusaidiana sidhani Kama ina ukweli wowote na hata Kama inao basi 1% tu. Hapo hakuna cha kusaidiana bali mmoja ndio atamsaidia mwingine kisa na yeye atapewa K tu.

Kama kigezo cha kupendwa ni namna hii basi nadhani wadada biashara ya mapenzi itawalipa zaidi so changamkieni fursa .
 
Msaidie mwenzako...hakuna mtu anapenda kudhalilika
Msaidie you never know tomorrow![emoji848]
Hapana bidada huyo sio kumsaidia huyu anajua anacho kifanya yaani kwake yeye kuwa na mwanaume ni ajira.

Okay yeye kadai laki tatu kwa mwezi, namimi nisemeje sasa nimwambie atanipa K mara ngapi kwa mwezi?
Mana huu ni mkataba sasa.

Am sorry mkuu ila naweza sema huu ni ukahaba tu na hukuna mapenzi ya namna hii K yake bei ya chini ni laki tatu so inaweza kupanda pia.
 
Turudishe jando aisee, hivi vitoto vya kiume vya siku hizi mbea wao, kudanga wao, majungu wao, kulia lia wao!! Sijui hata tunakosea wapi kuvilea[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Kama ni hivi basi hivi vitoto vya kike navyo vinahitaji msaada mkubwa sana waelimishwe kuwa k zao sio mtaji/kitega uchumi na kulipwa mshahara.

Huko jandoni sijawahi ona watu wakifunzwa kununua na kuweka bill za K kwa mwezi kama maji ya dawasco.
 
Unaweza kumpa lakini sio kwa kujiombea tena mwanzoni kabisa.
Kumpa hata million sio tatizo, inategemea uwezo na hadhi, viwango vya mahusiano plus ubora wa binti.

Ubora wa binti ni hekima na busara, hatangulizi pesa mbele, anaonyesha uthamani wako kwake, binti akionyesha kuwa wewe ni bora zaidi kwake utampa hata nyumba.

Lakini binti anayetanguliza maslahi yake binafsi mpe 30,000 apite hivi.

Dunia hii kuna wanawake wenye akili na ndio wanaofaidi nyumba, magari na pesa.
Binti anaipandisha thamani yako balaa.
Kila wakati anataka kuwa nawe, ukipita muda kidogo anakujulia hali, mara hivi mara vile na anaonyesha amezama kwako balaa.

Anajifanya hataki chochote kwako zaidi ya wewe na penzi lako.
Si kuwa hataki pesa zako laah hasha bali amechagua FUNGU JEMA nalo ni kumpata mwenye vyake kwanza na mengine atazidishiwa.

Yaani anakuonyesha amezuzuka nawe kama vile duniani umebaki mwanaume peke yako[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mwanamke wa hivi si tu utampa laki 3 bali utampa maisha yako.
Hii siri nimewaibiwa .
Heaven Sent
Sky Eclat
Joannah

Ahsante kwa hii siri[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Walaaa mwanamke matunzo babu wee[emoji108]
Hapana kwa mwendo huu mwanamke sio matunzo ila kuhongwa nadhani tukisema hivo tutakuwa sahihi zaidi.

Tumia akili piga vizinga na si kuweka kiwango Cha malipo kabisa kwa mwezi hapo ni biashara na sio matunzo tena.
 
Kwa hiyo tukifanya hivi tutakuwa tunapewa tu hela, eeh?
Mkuu Glenn umeongea ukweliii, wadada chukueni points hapa, Sema the bad side is, mdada alioko kimaslahi Kwako ni vigumu ku-act kama she is into u, Na ana feelings na ww, wakati kiuhalisia alichofata kwako ni hela tu, with little time Ahead utajua tu kuwa huyu sista ni golddigger Glenn witnessj Heaven Sent
 
"Kusaidiana" sas mbona nyinyi mnaelemea tu! nyie mnasaidia wap au ndo kutoa papuchi [emoji3]

Mwenzenu alikutana nae kwa daladala akiwa anarudi nyumban ukiachilia mbali ile kumuona kibarazani... Sasa hiyo lak 3 mnafikiri inawezekana kila mwezi??? Lazima alalamike sana tu maana amejeruhiwa. Pengine alijua atatumia wakitoka tu out na sio matunzo. #MuhuniKapatikana

Turudishe jando aisee, hivi vitoto vya kiume vya siku hizi mbea wao, kudanga wao, majungu wao, kulia lia wao!! Sijui hata tunakosea wapi kuvilea[emoji2297][emoji2297][emoji2297]

Kila mtu atafute ela zake mwenyewe, mambo ya kurudishana nyuma hayo tumeshayapiga teke, tunawaza mbele tu

Hila huwaga hazidumu kuna siku utagundua tu mkuu, ukiyumba kimapato utaona uso wako ulivyo hata ajifiche kiasi gani
Kwa namna hii wimbi la ma single mama halito isha kamwe sababu mwanaume atatoa pesa tu ya kununua furaha ya muda mfupi (biashara maelewano) kesho akija na swaga eti anamimba jamaa haelewi sababu hawakuwa mahusiano bali ni biashara tu na kesha mlipa hivyo akapambane na hali yake ujira wake si kesha pewa.
 
Wewe kama unaweza kumpa hizo pesa mpe kama huwezi acha

Wavulana mbona hamna vifua aseee!jambo dogo kama hili umeshindwa kabisa kulimezea,tena ni same old story🙄
Acheni hizo sasa yeye ata offer nini kama jamaa atatoa laki 3 kila mwezi muwe mnatumia hata tumbo tu kufikili
 
Kwa namna hii wimbi la ma single mama halito isha kamwe sababu mwanaume atatoa pesa tu ya kununua furaha ya muda mfupi (biashara maelewano) kesho akija na swaga eti anamimba jamaa haelewi sababu hawakuwa mahusiano bali ni biashara tu na kesha mlipa hivyo akapambane na hali yake ujira wake si kesha pewa.
Acha maneno mengi bwana, we toa pesa bwana!
 
Kama ni hivi basi hivi vitoto vya kike navyo vinahitaji msaada mkubwa sana waelimishwe kuwa k zao sio mataji/kitega we chumi na kulipwa mshahara.

Huko jandoni sijawahi ona watu wakifunzwa kununua na kuweka bill za K kwa mwezi kama maji ya dawasco.
Ukienda jando utaelewa.
 
Back
Top Bottom