Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza kumpa lakini sio kwa kujiombea tena mwanzoni kabisa.
Kumpa hata million sio tatizo, inategemea uwezo na hadhi, viwango vya mahusiano plus ubora wa binti.
Ubora wa binti ni hekima na busara, hatangulizi pesa mbele, anaonyesha uthamani wako kwake, binti akionyesha kuwa wewe ni bora zaidi kwake utampa hata nyumba.
Lakini binti anayetanguliza maslahi yake binafsi mpe 30,000 apite hivi.
Dunia hii kuna wanawake wenye akili na ndio wanaofaidi nyumba, magari na pesa.
Binti anaipandisha thamani yako balaa.
Kila wakati anataka kuwa nawe, ukipita muda kidogo anakujulia hali, mara hivi mara vile na anaonyesha amezama kwako balaa.
Anajifanya hataki chochote kwako zaidi ya wewe na penzi lako.
Si kuwa hataki pesa zako laah hasha bali amechagua FUNGU JEMA nalo ni kumpata mwenye vyake kwanza na mengine atazidishiwa.
Yaani anakuonyesha amezuzuka nawe kama vile duniani umebaki mwanaume peke yako[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwanamke wa hivi si tu utampa laki 3 bali utampa maisha yako.
Hii siri nimewaibiwa .
Heaven Sent
Sky Eclat
Joannah
Laki 3, duh... Nakupiga block kwanza! Kudadadeki! [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787](kwani mke???)
Sana[emoji1]Mmh mji mzito huu.
Usirudie tena swali hilo ntakunyonga mkuu, hilo ni jicho langu shemu.Kaka tule wa ir town yupo kund gani hapa [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo ni zwazwa eti angalau laki 3 kwa mweziHuyu dem napishana nae kila mara hapa mtaani kwetu na kwa kuwa mimi si mtu wa story sana na washikaji hapa kitaa yaani nikitoka nimetoka nikiingia nimeingia hivyo sijazoeleka sana na watu wengi.
Sasa huyu dem kila nikirudi hua namkuta kibarazani kwao (sijui kakariri muda wangu wa kurudi home) yeye ndo huwa wakanza kunisalimu, yeye anaishi nyumba jirani.
Siku moja nikiwa kwa daladala narudi home nikakutana nae kwenye gari tukakaa siti moja, story zikaanzia hapo hadi kubadilishana no za simu.
Baada ya wiki mambo yakawa moto, mitoko ya hapa na pale n.k, hana kazi yoyote yupo yupo tu mtaani na sikutaka kumdadisi sana kujua maisha yake.
Sasa leo tukiwa tunachati kanambia kuwa ananipenda sana muda mrefu alitamani kuwa na mimi.
Nikamuuliza sababu ya kuachana na ex wake (mana alikuwa anamponda sana) akasema wameachana sababu jamaa alikuwa hamjali kwa mahitaji yake yoyote yani kifupi hamthamini.
Nikamuuliza unadhani mimi naweza kukujali na kukupa mahitaji yako yote. Akasema hapana huwezi kuwa na yote ila kwa kiasi fulani nitashukuru.
Nikamuuliza ni kipi hasa unakihitaji akasema anataka apate angalau laki 3 kwa mwezi.
Nikamuuliza kazini kwako unalipwa sh ngapi kwa mwezi hadi udai laki tatu kwa mwanaume ?
Bado hajanijibu hadi sasa.
Dada zetu naona sasa mapenzi wameyageuza kuwa ajira wanadai mpaka mishahara sasa!!
waliona jambo dogo sio laki 3 kila mwezi na amekaa tuWewe kama unaweza kumpa hizo pesa mpe kama huwezi acha
Wavulana mbona hamna vifua aseee!jambo dogo kama hili umeshindwa kabisa kulimezea,tena ni same old story🙄
Usirudie tena swali hilo ntakunyonga mkuu, hilo ni jicho langu shemu.
Hiyo ni lulu[emoji1787][emoji1787]
Imagine[emoji848][emoji848][emoji848]Wewe kama unaweza kumpa hizo pesa mpe kama huwezi acha
Wavulana mbona hamna vifua aseee!jambo dogo kama hili umeshindwa kabisa kulimezea,tena ni same old story[emoji849]
Hadi aibu yaanWe mpe hela kama we ni mwanaume, kama pesa huna na uvulana bado unakusumbua kuwa na wa level yako...laki3 kitu gan kwani
Walaaa mwanamke matunzo babu wee[emoji108]Wanajishusha hadhi sana
MmmmhUnaweza kumpa lakini sio kwa kujiombea tena mwanzoni kabisa.
Kumpa hata million sio tatizo, inategemea uwezo na hadhi, viwango vya mahusiano plus ubora wa binti.
Ubora wa binti ni hekima na busara, hatangulizi pesa mbele, anaonyesha uthamani wako kwake, binti akionyesha kuwa wewe ni bora zaidi kwake utampa hata nyumba.
Lakini binti anayetanguliza maslahi yake binafsi mpe 30,000 apite hivi.
Dunia hii kuna wanawake wenye akili na ndio wanaofaidi nyumba, magari na pesa.
Binti anaipandisha thamani yako balaa.
Kila wakati anataka kuwa nawe, ukipita muda kidogo anakujulia hali, mara hivi mara vile na anaonyesha amezama kwako balaa.
Anajifanya hataki chochote kwako zaidi ya wewe na penzi lako.
Si kuwa hataki pesa zako laah hasha bali amechagua FUNGU JEMA nalo ni kumpata mwenye vyake kwanza na mengine atazidishiwa.
Yaani anakuonyesha amezuzuka nawe kama vile duniani umebaki mwanaume peke yako[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwanamke wa hivi si tu utampa laki 3 bali utampa maisha yako.
Hii siri nimewaibiwa .
Heaven Sent
Sky Eclat
Joannah
HaahaaaKaa nae mbali huyo,ukisema umdinye halafu uzingue kumpa hela mwisho wa mwezi..atakuchoma moto[emoji95] huyo...
HahaaaToa pesa mkuu acha kuli alia.
[emoji16][emoji16][emoji16]Kama nawe umemuelewa we kubali....
Katika hiyo laki 3 unatoa P.A.Y.E unajumlisha na tozo nyingine utakuta imebaki elf 43 hiyo ndio utampa usisahau kuwa na fire extinguisher wakati wote.