Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
U hali gani lkn dada[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
U hali gani lkn dada[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mi mke wangu kabisa ana kiwango chake kwa mwezi na ni zaidi ya mara tatu ya huyo dem wake,,Wewe kama unaweza kumpa hizo pesa mpe kama huwezi acha
Wavulana mbona hamna vifua aseee!jambo dogo kama hili umeshindwa kabisa kulimezea,tena ni same old story[emoji849]
Niko poa kabisa....U hali gani lkn dada
Hapo sawa.Mmhj nafkiri hujaelewa.
Ikiwa tuna uhusiano kuwajibika kwa mpensi ni muhimi asilimia zote, hakuna kei ya bure hata kama ni mke lazima umtunze.
Lakini huyu anajiuza kijanja
[emoji23][emoji23][emoji23]kirahisi tu ampe? Kwani ana hela za mchezo kiasi hicho?Wewe kama unaweza kumpa hizo pesa mpe kama huwezi acha
Wavulana mbona hamna vifua aseee!jambo dogo kama hili umeshindwa kabisa kulimezea,tena ni same old story[emoji849]
Bi mkubwa unamtumia sh ngapi kwa mwezi?Huyu dem napishana nae kila mara hapa mtaani kwetu na kwa kuwa mimi si mtu wa story sana na washikaji hapa kitaa yaani nikitoka nimetoka nikiingia nimeingia hivyo sijazoeleka sana na watu wengi.
Kama hawezi anaacha tu,sio lazima[emoji23][emoji23][emoji23]kirahisi tu ampe? Kwani ana hela za mchezo kiasi hicho?
Mi mke wangu kabisa ana kiwango chake kwa mwezi na ni zaidi ya mara tatu ya huyo dem wake,,
Mpenzi wako akitaka zaidi anakupa changamoto ya kutafuta zaidi, eventually unapata uwe zo wa kutafuta vingi zaidi.
Challenges ni mtaji.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kama una nia ya kuwa nae kimoja na wampenda shida nini?Huyu dem napishana nae kila mara hapa mtaani kwetu na kwa kuwa mimi si mtu wa story sana na washikaji hapa kitaa yaani nikitoka nimetoka nikiingia nimeingia hivyo sijazoeleka sana na watu wengi.
Sasa huyu dem kila nikirudi hua namkuta kibarazani kwao (sijui kakariri muda wangu wa kurudi home) yeye ndo huwa wakanza kunisalimu, yeye anaishi nyumba jirani.
Siku moja nikiwa kwa daladala narudi home nikakutana nae kwenye gari tukakaa siti moja, story zikaanzia hapo hadi kubadilishana no za simu.
Baada ya wiki mambo yakawa moto, mitoko ya hapa na pale n.k, hana kazi yoyote yupo yupo tu mtaani na sikutaka kumdadisi sana kujua maisha yake.
Sasa leo tukiwa tunachati kanambia kuwa ananipenda sana muda mrefu alitamani kuwa na mimi.
Nikamuuliza sababu ya kuachana na ex wake (mana alikuwa anamponda sana) akasema wameachana sababu jamaa alikuwa hamjali kwa mahitaji yake yoyote yani kifupi hamthamini.
Nikamuuliza unadhani mimi naweza kukujali na kukupa mahitaji yako yote. Akasema hapana huwezi kuwa na yote ila kwa kiasi fulani nitashukuru.
Nikamuuliza ni kipi hasa unakihitaji akasema anataka apate angalau laki 3 kwa mwezi.
Nikamuuliza kazini kwako unalipwa sh ngapi kwa mwezi hadi udai laki tatu kwa mwanaume ?
Bado hajanijibu hadi sasa.
Dada zetu naona sasa mapenzi wameyageuza kuwa ajira wanadai mpaka mishahara sasa!!
Wala sijampangia cha kupostUnampangiaje mtu kitu cha ku post JF?
Hao wadangaji inabidi wajipange vizuri zaidi, mwamba kashaepukana na gharama za kijinga.
Kwangu mimi iko hivi.
Mwanamke anayejitambua hapewi hela.
Anapewa bank card ajichotee mwenyewe. Tena si mara moja, anaachiwa akae nayo.
Lakini mpaka kufikia level hiyo anahitajika kuonesha hana ulimbukeni wa kudai laki tatu kwa mwezi.
Mimi naweza kuwa interested na mtu anayenipa business plan ya mamilioni nimsaidie aweze kuji sustain au ku sustain family kuliko mtu anayeomba mshahara wa laki tatu kwa mwezi.
Kama anampenda huyo binti basi ni lazima afanye "commitment".Wala sijampangia cha kupost
Mie huwa siamini katika kuomba omba pesa,siamini pia kama moja jukumu la mwanaume ni kumpa pesa mwanamke....mwanaume kutoa pesa iwe ni maamuzi yake
Laki3? Si ungeuliza kingine......Wewe unayo ?
Sometimes hawa mabinti wanatugeuza sisi kuwa kama wazazi waoHuyu dem napishana nae kila mara hapa mtaani kwetu na kwa kuwa mimi si mtu wa story sana na washikaji hapa kitaa yaani nikitoka nimetoka nikiingia nimeingia hivyo sijazoeleka sana na watu wengi.
Sasa huyu dem kila nikirudi hua namkuta kibarazani kwao (sijui kakariri muda wangu wa kurudi home) yeye ndo huwa wakanza kunisalimu, yeye anaishi nyumba jirani.
Siyo tu umempangia.Wala sijampangia cha kupost
Mie huwa siamini katika kuomba omba pesa,siamini pia kama moja jukumu la mwanaume ni kumpa pesa mwanamke....mwanaume kutoa pesa iwe ni maamuzi yake
Wakati huna haki hiyo ya kuamua mada ipi ni muhimu na ipi si muhimu.
Peleka motoooLaki3? Si ungeuliza kingine......
Sijakupangia cha kuchangia.Basi sawa
Na wewe usinipangie cha kuchangia....huna haki ya kuniambia comment ipi natakiwa kutoa na ipi sitakiwi kutoa
Laki tatu si pesa...ampe tu ...We mpe hela kama we ni mwanaume, kama pesa huna na uvulana bado unakusumbua kuwa na wa level yako...laki3 kitu gan kwani
Huyo anataka awe demu wako au anataka umuajili?
Acha zako nipe mim hiyo laki 3 maisha yenyewe haya.Wewe kama unaweza kumpa hizo pesa mpe kama huwezi acha
Wavulana mbona hamna vifua aseee!jambo dogo kama hili umeshindwa kabisa kulimezea,tena ni same old story[emoji849]