Nakupenda sana baby ila kila mwezi utanipa laki tatu (3)

Nakupenda sana baby ila kila mwezi utanipa laki tatu (3)

Nurse hospital za serikali (Community Health) analipwa Tshs 315,000/= kabla ya makato. Daah mpaka nimemuonea huruma, kwa hali hiyo sidhani kama atapata mwanaume, bora angekushawishi kwa kuonesha malengo yake ni kwa namna gani ataweza kuondokana na utegemezi.
Hawa viumbe wana shida sana, kuna mmoja alilia sana kwangu anahitaji mtaji kama 200,000/= nikampa kwa ajili ya kuanzisha kibanda cha chips, lakini alifungua wiki mbili tu akaanza tena kulalamika. Nimekimbia wala sitaki hata kuonana nae, maana nageuzwa tena zezeta

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Zezetaa[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]
 
Mi nasisitiza tena ...wadada ukiona una shida imekushika na ukamuomba mpenzi wako msaada wa kipesa akakupiga chini, jitafakari tena ...kiufupi hupendwi hata kidogo[emoji848]

Maisha kusaidiana bana, leo kwangu kesho kwako!
 
Mi nasisitiza tena ...wadada ukiona una shida imekushika na ukamuomba mpenzi wako msaada wa kipesa akakupiga chini, jitafakari tena ...kiufupi hupendwi hata kidogo[emoji848]

Maisha kusaidiana bana, leo kwangu kesho kwako!
"Kusaidiana" sas mbona nyinyi mnaelemea tu! nyie mnasaidia wap au ndo kutoa papuchi [emoji3]
 
tatizo wanawake wanawaona wanaume wapole wakimya wasiozoeana na watu wengi mtaani kama maboya.. kumbe akili nyingi kama movies za James Bond..

na hapo sio kwamba anataka laki tatu kama laki tatu.. amesema angalau, yani hiko ndio kima cha chini kisishuke hapo.. aisee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ha ha haa haa...eti kisishuke[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
 
Kama unaona hizo pesa sometimes utazikosa nunua fire ext.. kwanza.
 
Wewe kama unaweza kumpa hizo pesa mpe kama huwezi acha

Wavulana mbona hamna vifua aseee!jambo dogo kama hili umeshindwa kabisa kulimezea,tena ni same old story[emoji849]
Mwenzenu alikutana nae kwa daladala akiwa anarudi nyumban ukiachilia mbali ile kumuona kibarazani... Sasa hiyo lak 3 mnafikiri inawezekana kila mwezi??? Lazima alalamike sana tu maana amejeruhiwa. Pengine alijua atatumia wakitoka tu out na sio matunzo. #MuhuniKapatikana
 
Wewe kama unaweza kumpa hizo pesa mpe kama huwezi acha

Wavulana mbona hamna vifua aseee!jambo dogo kama hili umeshindwa kabisa kulimezea,tena ni same old story[emoji849]
Turudishe jando aisee, hivi vitoto vya kiume vya siku hizi mbea wao, kudanga wao, majungu wao, kulia lia wao!! Sijui hata tunakosea wapi kuvilea[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
 
Wewe kama unaweza kumpa hizo pesa mpe kama huwezi acha

Wavulana mbona hamna vifua aseee!jambo dogo kama hili umeshindwa kabisa kulimezea,tena ni same old story[emoji849]
Yaan utaki kukutana na manusura wa haya majanga kabisa unataka tuteketee kimya kmya[emoji28]
 
"Kusaidiana" sas mbona nyinyi mnaelemea tu! nyie mnasaidia wap au ndo kutoa papuchi [emoji3]
Kusaidiana kipesa na wewe sijamaanisha hayo unayoyasema[emoji57][emoji57]
 
Watu mnajifanya mna ela humu, hata ya kumtumia mamako unakosa, ila humu wewe ni tajiri
Kama wewe inakosa sio wote....maisha ulonayo sio lazima yafanane na wengine! Sisemi nina ela nyingi Ila kwa laki3 ya kumpa mpenzi ni ela ya kawaida kabisa...ila sio kwa wote.....kwaivo sio lazima iyo ela iwe ya kawaida kwako makasiriko ya nini sasa?
 
Kama wewe inakosa sio wote....maisha ulonayo sio lazima yafanane na wengine! Sisemi nina ela nyingi Ila kwa laki3 ya kumpa mpenzi ni ela ya kawaida kabisa...ila sio kwa wote.....kwaivo sio lazima iyo ela iwe ya kawaida kwako makasiriko ya nini sasa?
Kakuonea wivu kidume[emoji848][emoji848]
 
Wewe ni wa kike au me?
Ishu sio kuomba pesa, hapa ni timing.
Huyu dem inaonyesha hawana muda tayari anajimbea pesa, kwa kifupi anauza uchi.

Mapenzi hayanaga bei.
Yaani utajikuta kwa mwezi umempa hata 2 million na hujuti.

Hapo juu nimesema "mapenzi ni sawa na uwekezaji"

Ukiwekeza sana utavuna faida kubwa.
Duniani watu hulipia vyenye thamani bora.

Onyesha upendo kwanza, sahau pesa.
Ikiwa mimi nafaidi "upendo wako"
Na "sio uchi wako" pesa yoyote nitakupa..
Narudia pesa yoyote nitakupa.
Lakini kama unakuja kwangu kunifanya mradi utaumia.
Mkuu Glenn umeongea ukweliii, wadada chukueni points hapa, Sema the bad side is, mdada alioko kimaslahi Kwako ni vigumu ku-act kama she is into u, Na ana feelings na ww, wakati kiuhalisia alichofata kwako ni hela tu, with little time Ahead utajua tu kuwa huyu sista ni golddigger Glenn witnessj Heaven Sent
 
Mkuu Glenn umeongea ukweliii, wadada chukueni points hapa, Sema the bad side is, mdada alioko kimaslahi Kwako ni vigumu ku-act kama she is into u, Na ana feelings na ww, wakati kiuhalisia alichofata kwako ni hela tu, with little time Ahead utajua tu kuwa huyu sista ni golddigger Glenn witnessj Heaven Sent
Hila huwaga hazidumu kuna siku utagundua tu mkuu, ukiyumba kimapato utaona uso wako ulivyo hata ajifiche kiasi gani
 
Back
Top Bottom