Nakupenda sana baby ila kila mwezi utanipa laki tatu (3)

Laki tatu kila mwezi ina TV ndani au?
Unaweza kumpa lakini sio kwa kujiombea tena mwanzoni kabisa.
Kumpa hata million sio tatizo, inategemea uwezo na hadhi, viwango vya mahusiano plus ubora wa binti.

Ubora wa binti ni hekima na busara, hatangulizi pesa mbele, anaonyesha uthamani wako kwake, binti akionyesha kuwa wewe ni bora zaidi kwake utampa hata nyumba.

Lakini binti anayetanguliza maslahi yake binafsi mpe 30,000 apite hivi.

Dunia hii kuna wanawake wenye akili na ndio wanaofaidi nyumba, magari na pesa.
Binti anaipandisha thamani yako balaa.
Kila wakati anataka kuwa nawe, ukipita muda kidogo anakujulia hali, mara hivi mara vile na anaonyesha amezama kwako balaa.

Anajifanya hataki chochote kwako zaidi ya wewe na penzi lako.
Si kuwa hataki pesa zako laah hasha bali amechagua FUNGU JEMA nalo ni kumpata mwenye vyake kwanza na mengine atazidishiwa.

Yaani anakuonyesha amezuzuka nawe kama vile duniani umebaki mwanaume peke yako[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mwanamke wa hivi si tu utampa laki 3 bali utampa maisha yako.
Hii siri nimewaibiwa .
Heaven Sent
Sky Eclat
Joannah
 
Sasa si ukadate wa 1285 kwa mwezi?

Fresh tu.
Wewe ni wa kike au me?
Ishu sio kuomba pesa, hapa ni timing.
Huyu dem inaonyesha hawana muda tayari anajimbea pesa, kwa kifupi anauza uchi.

Mapenzi hayanaga bei.
Yaani utajikuta kwa mwezi umempa hata 2 million na hujuti.

Hapo juu nimesema "mapenzi ni sawa na uwekezaji"

Ukiwekeza sana utavuna faida kubwa.
Duniani watu hulipia vyenye thamani bora.

Onyesha upendo kwanza, sahau pesa.
Ikiwa mimi nafaidi "upendo wako"
Na "sio uchi wako" pesa yoyote nitakupa..
Narudia pesa yoyote nitakupa.
Lakini kama unakuja kwangu kunifanya mradi utaumia.
 
Huyo binti unaemzungumzia wewe sio anaezungumziwa kwenye mada na sote tunajua unaemzungumzia wewe anastahili unayoyasema na pengine zaidi ila anaezungumziwa kwenye mada ni kinyume chake.
 
Toa pesa mkuu acha kuli alia.
 
Huyo binti unaemzungumzia wewe sio anaezungumziwa kwenye mada na sote tunajua unaemzungumzia wewe anastahili unayoyasema na pengine zaidi ila anaezungumziwa kwenye mada ni kinyume chake.
Mkuu hapa nimejibu hoja ya mjumbe.
Lakini pia nimejibu kinyume na anayezungumziwa.
Tatu ninajaribu kuwaonyesha wanawake wa humu wenye kumtetea au kuwa na mtazamo sawa na binti kwenye uzi.
Wanawake wanamuona mleya uzi analalamikia laki 3 kumbe sivyo.
 
Kwa hiyo unakula mkate wa marehemu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…