Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mtaji siombi...bebe ananipa mwenyeweHaaaaaaaaaa unaombaga mtaji kama woteeeee haaaa
Bebe anataka kutugombanisha na maneno yake huyoAnaombaga pesa ya matumizi achana na hizo za kufirisiana kila siku unalia shida
Kopa zote zangu bebe??[emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173]baby
Hiyo itakuwa siri ya ndani kuyasema ni kama kuogopa majukumu mkuu?
Bebe si unajua vile wanakupenda wengii...unataka tuweke wazi maadui waongezeke?
[emoji3][emoji3]Hiyo itakuwa siri ya ndani kuyasema ni kama kuogopa majukumu mkuu?
Hahahhahahaaaaa 😛😀😀😀😀😀😀😀😱
Hahaha nimeona nikukumbusheAsante mke wangu Najua
Mimi siyo kibonge kama yeye siwezi kuwa na pressure za kiboya mkuuMke amuua mume kwa shambulio la Moyo - JamiiForumsHahaha nimeona nikukumbushe
Shikmooo mkuuNipo hapa nafuatilia majibu ya mlengwa
Sawa mkuuAkikujibu nitag mkuu
Shikamooo unae fukuziwa na kusifiwa na ZERO IQ[emoji3][emoji3]
Baby ndio maana nakupenda
Utamueza mwana lumumba yule??Mimi hata huyu ajuza wa Jf a.k.a"double F" kanikataa, huku mtaani hata wajane nikiwafuata wanasema wana watu wao.