William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
ahahahah eti star haya bwana le big baharia ahahahah! bongo bwana kila mtu anajiita star!!?
- Wewe mburulazzzz hebu jiulize unanijadili hapa kwenye jukwaa la nini ndio ujipnage tena ok hahahahahahaha U know
Le Mutuz
- Well simple trick tangaza party yako tuone wadhamini mkuu, halafu subiri naenda Mbeya kesho party nimeiahirisha nikirudi naifanya uone wadhamini waliojitokeza ndio tofauti ya Celebrity na wewe layman, it has nothing to do na mzungu it is about being Big Celebrity mimi I am wewe sio ndio maana una maneno mengi ya kujiliwaza cause ungependa uwe lakini sio, unafikiri unaweza kuwa big Celebrity kwa kutukana watu JF na majina ya bandia? hahahahahahahhaa never ndio unaona jina langu linazungumzika kwenye jukwaa la Celebrity Forum
- au unasema hili ni jukwaa la kujua mzungu na muafrika ni nani? hahahahahahaha le mburulazzzzz jipange tena!!, hebu sema ikianzishwa thread inayokuhusu hapa utapata viewers wangapi? Eti mzungu so wewe ni mzungu? hahahahahahah tuliza boli hili ni jukwa ala Celebrity sio mzungu ok!! hahahah
Le Mutuz
- Wewe mburulazzzz hebu jiulize unanijadili hapa kwenye jukwaa la nini ndio ujipnage tena ok hahahahahahaha U know
Le Mutuz
Le Mutuz pole sana kwa kuuguliwa na mama yako mzazi, Mungu atamsaidia atapona.
Btw sikuwa najua kama mama yako mzazi yupo Mbeya kijijini na anaishi kwenye nyumba ya udongo. Nakushauri hizi hela unazoandaa parties na wanawake ungenunulia ata tofali uweke vizuri kwa maza utapata baraka nyingi sana.
Kama nitafikisha miaka 50 halafu nikawa na nyumba ya kawaida ya kuishi
Siwezi kujisifu!
Badilika wewe hii ni 2015,na huu ni mwaka wako wa 56 toka uzaliwe.
dah mkuu! it just an example hamna mambo ya mzungu wala muafrika hapo wala kwenda mbeya ...
what it mean ni ukiona mtu analazimisha kusema yeye ni (kitu) mtu fulani uje sio..
How couldnt u understand that simple .. i hear u hold 3 degree..
- hahahahahahahahaha nikifikia huko utajua tu wala usiwe na wasi wasi cause Mwenyekiti wa Chadema hajafikia huko so is me hahahahahahaha
Le Mutuz
Man they really hate u duh,change old man change.u too old man
Tatizo lako ndio hilo.Miaka inakimbia lakini unajiona bado bwana mdogo kabisa.
- Tatizo lako huna maisha sasa unarukia wenye maisha kama mimi si unajua mimi hapa I get paid wewe unaumiza misuli yako bure au hujui hilo? hahahahahahahahah
Le Mutuz
- Well, wewe sio mimi na mimi sio wewe ni Big Celebrity kila kitu changu ni news na it means malipo, hiyo parrty ya nyumbe means money kwangu kwa sababu kuna Sponsors kibao wanataka kuwa part of the party, pole sana ndio tofauti yangu na yako wewe layman ok, hahahahahahahaha
Le Mutuz
Sawa Babu!
Naona leo upo free,haujatumwa bandarini mkuu.
- Bandarini nina share kwenye ICD situmwi na mtu never hahahahahaha U know
Le Mutuz
Hivi ulisema US ulikuwa unafanya kaz gan vile?