Buenos Aires
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,894
- 1,622
Kwa majengo kenya mko vizuri sana ukilinganisha na kwetu huku bara, especially Nairobi. huku kwetu Dar na Mwanza atleast wanaipandisha hadhi nchi, haya ni maono yangu. Arusha bado wana migorofa ya zamani. Dodoma inakuja kwa kasi pia. baada ya miaka michache huko mbele huenda ikashika nafasi ya 3 kwa majengo mazuri na ukubwa wa mji baada ya Dar na Mwanza